njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
wakiwa na promo zao ndiyo ma sms kibao hadi matangazo redioni hilo ulilolisema siyo la muhimu kwao sababu wanajua nape nnauye atawatetea na kusema ni upotoshaji ilihali kweli wamepunguza kwa mb 200Wangekua wanatoa elimu kwanza kwa mtumiaji then wafanye yao sio ghafla tu
wakiwa na promo zao ndiyo ma sms kibao hadi matangazo redioni hilo ulilolisema siyo la muhimu kwao sababu wanajua nape nnauye atawatetea na kusema ni upotoshaji ilihali kweli wamepunguza kwa mb 200Wangekua wanatoa elimu kwanza kwa mtumiaji then wafanye yao sio ghafla tu
Hawapo sawawakiwa na promo zao ndiyo ma sms kibao hadi matangazo redioni hilo ulilolisema siyo la muhimu kwao sababu wanajua nape nnauye atawatetea na kusema ni upotoshaji ilihali kweli wamepunguza kwa mb 200
aiseeeeHuyo huyo nape, amewai tumia roaming service vibaya akiwa abroad bill ilikuja kama million 70 naa huko katika mwezi, akitumia postpaid service kipindi akiwa katibu mwenezi.
Ali dispute hio bill kuwa alikua hajui, ofisi haikumpa elimu akiwa nje afanyeje, alikua anatia huruma.
awamu ya sita ni kiboko aiseee WANA DHARAU, KEBEHI NA MAJIGAMBO YALIYOPITILIZAHILI NALO MKALITIZAME
aiseeHuyo huyo nape, amewai tumia roaming service vibaya akiwa abroad bill ilikuja kama million 70 naa huko katika mwezi, akitumia postpaid service kipindi akiwa katibu mwenezi.
Ali dispute hio bill kuwa alikua hajui, ofisi haikumpa elimu akiwa nje afanyeje, alikua anatia huruma.
Wapo sawa tu maana waziri ndiye msemaji wao kwenye haya maalamiko hutawasikia wakisema lolote wana Haji Manara wao, waziri mzima kajivika mabomu kutetea hata tunavyoviona kwa machoHawapo sawa
Japo maisha ni kuchagua ila access ya net ni muhimu sana TTCL ilikua mda wao sasa wangekua wajanja wakasambaza neti nchi nzima watu tupate net za malipo ya mwezi ila kwa hizi bei kama sina jambo muhimu naenda nunua nyama nusu na piga na double kick yangu basi nalala tu.Voda washafanya yao, mtu kalalamika na evidence juu na kama kawaida siku hizi nape nnauye ni msemaji mzuri sana wa haya makampuni....
hili suala la bando huyu jamaa sijui ana maslahi gani yeye kila siku watu wakilalamika anawaita wapotoshaji,duh
Mimi kama mhandisi nakataa hili maana hakuna mteja asiyewekewa credit limit.. na wale high value customer (hvc) wengi wanawekewa 2m kwa mwezi.Huyo huyo nape, amewai tumia roaming service vibaya akiwa abroad bill ilikuja kama million 70 naa huko katika mwezi, akitumia postpaid service kipindi akiwa katibu mwenezi.
Ali dispute hio bill kuwa alikua hajui, ofisi haikumpa elimu akiwa nje afanyeje, alikua anatia huruma.
Nchi ambazo hazina Mwenge, huwa hazifanyi au hazianzishi miradi?Mwenge una uzuri wake, Kuna maeneo mengi viongozi wa eneo wanalazimika kuanzisha miradi mbalimbali kutokana na mwenge...
Tofautisha Pre paid service, hio wanayowekewa credits kila mwezi.Mimi kama mhandisi nakataa hili maana hakuna mteja asiyewekewa credit limit.. na wale high value customer (hvc) wengi wanawekewa 2m kwa mwezi...