Kuna dada mmoja hivi anaitwa alice alikua content provider manager yupo wapi siku hizi??Platform na postpaid policy zinafanana kote.. nimetoka zain mwishoni mwa 2009 nikaenda voda.
🤣🤣 Alice ninayemkumbuka airtel nadhani bado yupo pale kwenye roaming au international business au business development.. ni long time sikumbuki vizuri. Alice wa voda ninayemjua ni HR.Kuna dada mmoja hivi anaitwa alice alikua content provider manager yupo wapi siku hizi??
Airtel kipindi hicho Zain.🤣🤣 Alice ninayemkumbuka airtel nadhani bado yupo pale kwenye roaming au international business au business development.. ni long time sikumbuki vizuri. Alice wa voda ninayemjua ni HR.
Hii ni kumtesa mwananchi Kwa Sababu Kwa sasa Hivi asilimia kubwa sana za biashara watu tunatumia simu Kwa kuitangaza biashara yako sasa ukimtesa mwananchi Kwa kuongeza gharama ni mbaya sana , Kwa Sababu hapo bado makato ya vitu vingine Yaani hii Tanzania ingebadirishwa Jina na kuitwa Makatonia United republic
Line ya Voda sitaitumia tena??Voda washafanya yao, mtu kalalamika na evidence juu na kama kawaida siku hizi Nape Nnauye ni msemaji mzuri sana wa haya makampuni, anayapambania kwelikweli akamnanga mlipa tozo aliyelalamika.
Badala ya MB 1500 kwa tshs 3000 sasa unapata 1300 mb ila sidhani kama hawa mawaziri wanaweka bando zetu hizi sidhani kwa kweli, waziri muhusika anaishi kwenye dunia yake kabisa.
View attachment 2345315