Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
- Thread starter
- #21
Halotel ni baba la 1 gb kwa 500 6 usiku hadi 12 asubuiMtandao gani kuna unafuu na internet iko stable?
Usiniambie airtel pale hamna mtandao kuna wizi wa rejareja
1000 1gb wiki
15k 20gb mwezi
Kwa eneo langu 4g inasoma na Ni kasi ya hatari voda magoigoi