Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Kuna siku hua natumia WiFi, kuna siku ya kuwa offline, dakika sijiungagi kabisa, sms za airtel buku mwezi mzimaDuh kwa wiki 14k mwezi 60k na bado dakika unazopewa ukiongea na watu watatu tu zimeisha.
Halafu waziri wa bando anajitapa kuwa sisi bei yetu ya data ni cheap.