Vodacom wasalimu amri

kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi

niko eneo ambalo net za mitandao 'mingi' iko slow sana ( chini ya 34kbps ), isipokua Tigo ( naona work-load imepungua kwakua bando ni ghali )

waendelee kukaba ivyo-ivyo

Nimeliweka pending kwa kupigiwa tu. Lishakua takataka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…