Abu Ubaidah Commando JF-Expert Member Joined Sep 8, 2016 Posts 7,591 Reaction score 6,946 May 13, 2021 #61 dronedrake said: kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi niko eneo ambalo net za mitandao 'mingi' iko slow sana ( chini ya 34kbps ), isipokua Tigo ( naona work-load imepungua kwakua bando ni ghali ) waendelee kukaba ivyo-ivyo Click to expand... Nimeliweka pending kwa kupigiwa tu. Lishakua takataka
dronedrake said: kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi niko eneo ambalo net za mitandao 'mingi' iko slow sana ( chini ya 34kbps ), isipokua Tigo ( naona work-load imepungua kwakua bando ni ghali ) waendelee kukaba ivyo-ivyo Click to expand... Nimeliweka pending kwa kupigiwa tu. Lishakua takataka
dronedrake JF-Expert Member Joined Dec 25, 2013 Posts 23,901 Reaction score 58,103 May 13, 2021 #62 Dalmine said: Nimeliweka pending kwa kupigiwa tu. Lishakua takataka Click to expand... uku kwangu naiona ni Almasi, line yao ya kwanza nilivunja, baada ya 'kuhama' sasa nawapigia goti
Dalmine said: Nimeliweka pending kwa kupigiwa tu. Lishakua takataka Click to expand... uku kwangu naiona ni Almasi, line yao ya kwanza nilivunja, baada ya 'kuhama' sasa nawapigia goti
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 69,329 Reaction score 164,730 May 13, 2021 #63 cute eyes said: Voda kwangu wamegoma kurudisha hiyo menu Click to expand... Hawa voda wana offer ya kila mtu sijui kwanini
cute eyes said: Voda kwangu wamegoma kurudisha hiyo menu Click to expand... Hawa voda wana offer ya kila mtu sijui kwanini
Amehlo JF-Expert Member Joined May 8, 2019 Posts 10,104 Reaction score 29,178 May 13, 2021 #64 Glenn said: Hawa voda wana offer ya kila mtu aijui kwanini Click to expand... Sijui wanatuchukuliaje