Vodacom yachangia Tsh. 2 bilioni mapambano dhidi ya Corona

Vodacom yachangia Tsh. 2 bilioni mapambano dhidi ya Corona

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.

Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya, Ummy Mwalimu

Vodacom.jpg

My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
 
Kampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.

Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu

Source Channel ten!

My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
Yohana hawa jamaa wameonyesha uzalendo wa kweli.
 
Walipaswa wakabidhi kwa PM au JPM bhana, Hongera VODACOM wacha tuweke vocha maana unarejesha kwa umma at times of need. am proud of you
 
Back
Top Bottom