Vodacom yachangia Tsh. 2 bilioni mapambano dhidi ya Corona

Vodacom yachangia Tsh. 2 bilioni mapambano dhidi ya Corona

Tunaomba pia tuone fedha hizo zikitumika kusaidia kununua vifaa vya corona na barakoa.kwani watu wa dar wameambiwa kuanzia jtatu wavae barakoa na hawanafedha za kununuliwa barakoa.kila siku mtu anahitaji barakoa moja hivyo kwa mwezi mmoja mtu mmoja atahitaji barakia 30.serikali itumie fedha hizi za michango kwa kuwanu ulia wananchi barakoa na kuwapa bure
RC kasema unaweza kujifunga Leso usoni!
 
Kampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.

Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu

Source Channel ten!

My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
Ccm wakichanga sisi tuna double within 1 week
 
Unaibiwa halafu unarudishiwa kiasi na bado unashukuru. Ninyi wapiga debe wa awamu ya nne mna akili kweli.

Pili, hivi Corona inachagua vyama! Hili ni tatizo linaloumiza jamii bila kujali itikadi za vyama.

Kwanini mnaendelea kulimaliza Taifa kwa kuligawa katika ujinga ujinga tu. Kwanini hamuelekezi nguvu kupambana na Corona mliyozembea na sasa 'mnamgeukia' Mungu licha ya fursa alizotoa za kujifunza kutoka kwa wengine.

Kila kifo au aumbukizi la Corona ni matokeo ya kushindwa kwa serikali kulikabili tatizo

JokaKuu tindo Pascal Mayalla
Unaweza kuthibitisha pasi na shaka huo wizi?
 
Back
Top Bottom