Jhounne
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 1,093
- 2,554
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Àlishatoa ole sosopiKampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.
Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu
Source Channel ten!
My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
Bingwa wa kula hela za misaada anazisubiria kwa hamuKampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.
Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu
Source Channel ten!
My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
Natamani nikuone sura yako nione unavyofanana juha la karne wewe, CCM imechangia sh ngapi?Kampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.
Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu
Source Channel ten!
My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
Anarudi anajua udhaifu wa watanzania kwanza kaingia kwenye mpira kupitia yanga sasa hivi waliokuwa wanamsema fisadi wote kimyaBundles zitapanda muda wowote kuanzia sasa.
Kingmaker RA kajitoa sana kwenye hili la COVID utafikiri anataka kurudi siasani tena.
Chama cha majizi kuna meko,kangi lugola na dotto james hao wamekaa kimya tu,ndio muda wa kurudisha walizoporaKampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.
Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu
Source Channel ten!
My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
Pesa za kampeni za ccm hizoHiyo michango bado sijaona matumizi yake, kama yupo alieyaona anijulishe tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni kichaaKampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.
Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu
Source Channel ten!
My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
Nyie CCM mshatoa mchango gani ? Ni suala la kitaifa we unaleta uchama.Kampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.
Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu
Source Channel ten!
My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
Kumbe zile za faini hazikuwatosha! nadhani kwa mtazamo na fikra zenu mngelipenda chadema ifutiwe usajili isipotoa mchango eeeh?Kampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.
Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu
Source Channel ten!
My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
Rostam kakaa ndani? Au unamchanganya na Yusuph Manji?Pamoja na kukaa ndani kwa mda na figisu kumbe bado ana hela
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Zitapanda mara ngapi boss?Bundles zitapanda muda wowote kuanzia sasa.
Kingmaker RA kajitoa sana kwenye hili la COVID utafikiri anataka kurudi siasani tena.
Nakumbuka wakati anawaaga wapiga kura wake wakati ule anaacha politiki alimwaga machozi.Bundles zitapanda muda wowote kuanzia sasa.
Kingmaker RA kajitoa sana kwenye hili la COVID utafikiri anataka kurudi siasani tena.
Chadema!?Kampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.
Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu
Source Channel ten!
My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?