Vodacom yachangia Tsh. 2 bilioni mapambano dhidi ya Corona

Vodacom yachangia Tsh. 2 bilioni mapambano dhidi ya Corona

Michango mingine
IMG-20200418-WA0069.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.

Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu

Source Channel ten!

My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
Àlishatoa ole sosopi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.

Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu

Source Channel ten!

My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
Bingwa wa kula hela za misaada anazisubiria kwa hamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.

Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu

Source Channel ten!

My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
Natamani nikuone sura yako nione unavyofanana juha la karne wewe, CCM imechangia sh ngapi?
Vyama vya Siasa ni makampuni ya Biashara hadi vichangie?
Eti na wewe ni Baba wa familia, Aisee wanawake wanaolewa Jamani!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bundles zitapanda muda wowote kuanzia sasa.

Kingmaker RA kajitoa sana kwenye hili la COVID utafikiri anataka kurudi siasani tena.
Anarudi anajua udhaifu wa watanzania kwanza kaingia kwenye mpira kupitia yanga sasa hivi waliokuwa wanamsema fisadi wote kimya
 
Kampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.

Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu

Source Channel ten!

My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
Chama cha majizi kuna meko,kangi lugola na dotto james hao wamekaa kimya tu,ndio muda wa kurudisha walizopora

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.

Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu

Source Channel ten!

My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
Nyie CCM mshatoa mchango gani ? Ni suala la kitaifa we unaleta uchama.
 
Kampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.

Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu

Source Channel ten!

My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
Kumbe zile za faini hazikuwatosha! nadhani kwa mtazamo na fikra zenu mngelipenda chadema ifutiwe usajili isipotoa mchango eeeh?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na kukaa ndani kwa mda na figisu kumbe bado ana hela

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Rostam kakaa ndani? Au unamchanganya na Yusuph Manji?
 
Hawa washenzi wanatuibia kweli kweli huku. Nahisi wizi wao umepewa baraka.
 
Kampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.

Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu

Source Channel ten!

My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
Chadema!?
 
Back
Top Bottom