johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Unauliza kinyeo cha dog wakati umeshika mkia?Huna akili! Swali la msingi la kujiuliza hapa ni je hii michango inatumika wapi na siyo kujiuliza mbona fulani na fulani hatumuoni akichangia!
crskzngzjzawf😊😊😊Wewe ulinunua vocha hukuchangia corona!
Yohana hawa jamaa wameonyesha uzalendo wa kweli.
shsgsykxjj🙏🙏🙏Sguidnnsgtsbbs gsuutsnsisnnsjs znsnnsnjs 🤣🤣🤣🤣😀😀
Hiyo michango bado sijaona matumizi yake, kama yupo alieyaona anijulishe tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
shsgsykxjj🙏🙏🙏
Bundles zitapanda muda wowote kuanzia sasa.
Kingmaker RA kajitoa sana kwenye hili la COVID utafikiri anataka kurudi siasani tena.
shsgsykxjj[emoji120][emoji120][emoji120]
Mashirika haya ya simu ni bure kabisa huku kusini mwa jangwa la Sahara
Nilidhani wangeshauriana na kushirikiana kwenye tafiti na ITs' na watu wa Afya watengeneze hata apps za kuwekwa kwenye simu za wateja wao zinazoweza kugundua dalili za Awali za mgonjwa wa korona na kutoa taarifa mahala husika
Leo wanakuja na vimichango kama wajasiriamali wa pale makanyagio ya mbwa.
Hawa jamaa waje na vitu sensitive hata ukiongea raia wanakuelewa unaongea nini
2milions Vodacom aibu!!!!
Wapeleke kwenye tafiti mavyuoni huko MuhasMkuu sio 2m, bali ni 2b, it's a handsome amount. Labda wafanyie kazi hizo hoja zako nyingine. Ila kama kweli wametoa 2b Ni hela nzuri.
Hapana 🤣🤣Bwashee unataka chadema wachangie wakati wenzio wanataka corona izidi ili wafanyie siasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaomba pia tuone fedha hizo zikitumika kusaidia kununua vifaa vya corona na barakoa.kwani watu wa dar wameambiwa kuanzia jtatu wavae barakoa na hawanafedha za kununuliwa barakoa.kila siku mtu anahitaji barakoa moja hivyo kwa mwezi mmoja mtu mmoja atahitaji barakia 30.serikali itumie fedha hizi za michango kwa kuwanu ulia wananchi barakoa na kuwapa bureKampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.
Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu
Source Channel ten!
My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
Vabshavaaaahfb basdbd💰💰💳💳 bsebgjzaqtVdjdbjrrke ejievebwlmvyueg
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧