The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Mpaka anaomba kwenda chooniHakuna kesi hapo, halafu nashangaa huyu ACP Kingai ana familia kabisa lakini anakubali ujinga kama huu!
Na mimi nimefuatilia kupitia mitandaoni sioni kesi hapo
Has haa 😳 😳 😳 😳 😳 uunataka kuwa - Hamza polisi wetu...!!??Mwenye bunduki jamani aniuzie!
Hapana mkuu kuna mambo nataka niweke sawa bila mr.bunduki haitafaaaUnataka kuwa Hamza...?
Aah, hapana, hatukuuzii ng'o kwa sababu tunataka tushindane kwa hoja na siyo kwa bunduki..!!
Tunawakaribisha watalii waje waone maajabu ya serikali ya Chifu Hangaya.Mpaka anaomba kwenda chooni
Na yule Kigaigai ambaye ni Rc wa Kilimanjaro, amekamata vijana zaidi ya 500 wanaofanya mafunzo yasiyojulikana.Haya majina yanayoishia na herufi "gai" kama Ndugai, Kingai,... sijui yana siri gani ndani yake!?
Sukari inapanda inaelekea Evarest😁Kingai amekimbizwa hospitali anadai sukari imepanda😂😂😂😂Mama futa kesi wanakutia aibu
Kigaigai ( alikua Katibu wa Bunge)Haya majina yanayoishia na herufi "gai" kama Ndugai, Kingai,... sijui yana siri gani ndani yake!?
Hii sukari gani siku hizi haiko serious ??, hapo ilitakiwa imuachie israel afanye kazi yake,Kingai amekimbizwa hospitali anadai sukari imepanda😂😂😂😂Mama futa kesi wanakutia aibu
Hakuna kesi hapo, halafu nashangaa huyu ACP Kingai ana familia kabisa lakini anakubali ujinga kama huu!
Na mimi nimefuatilia kupitia mitandaoni sioni kesi hapo
Duh! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kigaigai ( alikua Katibu wa Bunge)