Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Dr Hussein Mwinyi ni mzigo tu, labda hukafuatilia approval yake miongoni mwa Wazanzibari. Kwanza asungekuwa Magufuli ZNZ ingekuwa na Rais mwingine.

Mwinyi ana sera ya uchumi wa Bluu, lakini naamini hata mwenyewe haufahamu uchumi huo. Sanasana labda kuuza visiwa vidogo vidogo kwa wawekezaji
 
Msapoti kwa Uongozi mzuri siyo kwa udini,ni lini utaacha kuhubiri udini.Kama vipi ukaombe uraia Saudia
Kama kwa "udini" unamaanisha Uislam basi elewa kuwa hilo sitaliacha mpaka niingie kaburini.

Kaitazame "Royal tour", mwenyewe kaonesha nyumbani kwao na alipolelewa na msikiti na madrassa aliyosoma ipo hapo hapo kwao, hapo alisema ndiyo palipomjengea maadili.


Utaacha wapi kuusifia Uislam kwani ndiyo uliomfundisha nidhamu na maadili, unafikiri maadili yanafundishwa shule za secular? Au shule za Kikaristo? Ambako mapadri wamejazana mashoga, kuna kufundishana maadili mema huko?


Rais wa Ufilipino Duterte kayasema hayo, si mimi, unataka ushahidi sema nikuwekee.
 
Samia alishasema atagombea mwaka 2025, ndio maana wale waandishi kwenye lile gazeti la Uhuru waliomlisha maneno walichukuliwa hatua.
zitto junior TUJITEGEMEE
JokaKuu
 
Kuna moto tuliouangukia zaidi ya Mungu alipotuokoa?

Team ya mama anayoipanga ndiyo inawaudhi wapendwa wa bwana yule. Hawana namna ya kutoa joto lao tu, wanakuja eti sauti.

Kazi ya Mungu haina makosa.
 
Wewe unaeufahamu ushaufanyia nini. Punguani wahed.
 


Umeongea mambo meeengi ambayo hayana uhusiano na nilichokuuliza


Ila kikubwa ulichokiri hapa pengine kwa kujua ama kutokujua ni kwamba Mwanamke anaweza kuongoza Wanawake wenzake ama watoto tu na si vinginevyo.... (sasa kipi kikushangazacho kuhusu WASUKUMA kukaataa kuongozwa na wanawake?)


Hoja yako kuhusu MISAMBWANDA naona haina mashiko ukizingatia,

M/Mungu aliyeumba wanawake na MISAMBWANDA yao na wanaume na TAMAA zao aliyajua yote hayo hata kabla ya yote

sasa iweje iogopwe wanawake kuongoza sala mbele ya wanaume eti kisa MISAMBWANDA?
 
Maadili ya kuwaambia mawazir NONSENCE na kuwaambia wandishi wa habar USIPONIKUNA vizuri NAKUPARUA hayo ndo maadili Chui Jike!
 
Shida siyo Uzanzibari wau Uanamke wake, shida ni Uislam wake.

Nnakuhakikishia kila anaempinga mama humu basi utakuta sio Muislam.
Kwahiyo waisilamu hawakosei au ukiwa muislamu huoni ujinga unafanyika!?
Waislamu kama wewe ni majuha mwanzo mwisho, huko mitaani wanao
mpinga kuhusu tozo, mafuta, umeme nao ni wakristo tu!?
Ajuza umezeeka vibaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…