Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Kama hujui katiba basi jifunze hata kwa historia, Rais wa Zanzibar anaweza kuwa hata makamu Bara achilia mbali urais wa JMT.
Ivi kwa mfano samia anaweza mfanya mwinyi wa zanzibar kuwa makamu wake ili hali bado ni rais wa zanzibar nikimaanisha anakuwa makamu bara na rais zanzibar kwa wakati mmoja ni swali tu nataka kufahamu?
 
Mbona unajikweza kiasi hiki ?


Bakwata ndio wenye hilo jukumu la kutangaza kuanza kwa mfungo au kumalizika kwake ili kuondoa mkanganyiko.
Sasa wewe aidha wafate au usiwafate, sisi inatuhusu nini? Sisi tunafta Qur'an inasema nini, wewe fata ujuavyo.


Kusema ukweli ndiyo kujikweza? Unanshangaza!
 
P pamoja kwamba wewe ni mtu wa mfumo vipi huogopi kuleta mada kama hizi maana madaraka ni matamu Sana na unaowaambia hicho kitu unadhani wanafurahi ingawa ni Cha kweli?Je hawawezi kuunganisha dots na wewe kujikuta unakua kwenye hatari ?
 
Ivi kwa mfano samia anaweza mfanya mwinyi wa zanzibar kuwa makamu wake ili hali bado ni rais wa zanzibar nikimaanisha anakuwa makamu bara na rais zanzibar kwa wakati mmoja ni swali tu nataka kufahamu?
Mkuu cabo , asante sana kwa swali hili, japo linaonekana kama ni swali lakijinga sana kwa sababu inatarajiwa kila Mtanzania ni lazima aijue katiba, the basics, kuwa rais akitokea upande mmoja wa muungano, VP ni lazima atoke upande mwingine. Samia ni rais kutoka Zanzibar hawezi kumteua Dr Mwinyi kuwa VP.

Ila tulipo ungana, Rais wa Zanzibar ndie VP wa kwanza, halafu PM ndie VP wa pili. Samia akiamua kumrudishia hadhi rais wa Zanzibar kwenye hii setup ya muungano, anaweza. Kwa sasa ndani ya set up ya muungano, rais wa Zanzibar is nothing,ni nobody!. Anaelezwa kuwa atateuliwa na Rais wa JMT kuwa Waziri asiye na Wizara maalum ili tuu aweze kuhudhuria cabinet meetings lakini ndani ya setup ya muungano rais wa Zanzibar is nobody!, na mpaka hapa ninapoandika, katiba ya JMT haitambui GNU, wala wale Makamo wawili wa kule, ila tuu wanatambulika ki protokali kwa heshima tuu. Hivyo sasa maadam Rais wa JMT ni kutoka Zanzibar, huu sasa ndio wakati muafaka kwa hadhi ya Zanzibar ndani ya muungano iwe restored, Katiba ya JMT iitambue katiba ya Zanzibar na ku ya adopt mabadiliko yake. Rais wa Zanzibar awe restored kuwa VP etc etc.
P
 
P pamoja kwamba wewe ni mtu wa mfumo vipi huogopi kuleta mada kama hizi maana madaraka ni matamu Sana na unaowaambia hicho kitu unadhani wanafurahi ingawa ni Cha kweli?Je hawawezi kuunganisha dots na wewe kujikuta unakua kwenye hatari ?
Mkuu Babe la mji , kweli madaraka ni matamu, ila haya mambo ya sauti sii yetu ni over and above us hivyo kuyasema ndiko kusaidia kwenyewe.

Kama JPM angejua he is a one term president kuna mambo angefanya vizuri zaidi kuliko alivyofanya. Kwa mujibu wa katiba yetu, urais wa JMT ni 5 year term with possibility to extend to a second term but not necessarily, ndio maana hata mimi ninasupport kabisa Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
ila unaposikia sauti fulani, sema ulichosikia, ili wenye masikio wasikie
P
 
Shida siyo Uzanzibari wau Uanamke wake, shida ni Uislam wake.

Nnakuhakikishia kila anaempinga mama humu basi utakuta sio Muislam.
Kwahiyo waisilamu hawakosei au ukiwa muislamu huoni ujinga unafanyika!?
Waislamu kama wewe ni majuha mwanzo mwisho, huko mitaani wanao
mpinga kuhusu tozo, mafuta, umeme nao ni wakristo tu!?
Ajuza umezeeka vibaya.
Wale waislamu waliotolewa madarakani egypt, tunisia na nchi za mashariki ya kati
walitolewa na wakristo!?
 
Wanabodi
Haya mambo ya mtu kusikia sauti, sio mambo ya ulimwengu huu wa mwili, haya ni mambo ya ulimwengu wa Roho.

Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading, ni unasikia tuu sauti inakuambia jambo fulani bila kuambiwa sababu na huwezi kuuliza, hivyo nami naomba kuwaeleza tuu sauti niliosikia na naomba msiniulize kitu kwasababu sio mimi ni sauti

Leo nilikuwa naandika bandiko fulani humu JF, ndipo ghafla nikaisikia sauti (voices from within) kuwa Rais wa JMT kwa 2025 should be Dr. Hussein Mwinyi kwa kipindi kimoja, then 2030 ndipo tuje na mgombea mwanamke!.

Sauti hiyo inamaanisha inamtaka Rais Samia awe ni Rais wa JMT kwa kipindi kimoja tuu hadi 2025. Sauti hiyo ikasema ni Rais Samia mwenyewe willingly anatakiwa kumuomba Dr. Hussein Mwinyi, 2025 aje kugombea urais wa JMT, kuimalizia awamu ya pili ya Samia, kwa awamu moja tuu,.

Na kipindi hicho cha 2025- 2030 ndio sasa sasa tufanye grooming ya Mwanamke atakagombea urais wa JMT kwa 2030.

Japo Tanzania, tulipania 2025 twende na mgombea mwanamke, na mimi niliunga mkono hoja hii Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
kama hii sauti ni yake YEYE kweli, then unamaanisha kwa uchaguzi wa 2025, Tanzania tuna mgombea mmoja tuu Mwanamke, yaani the one and only ambaye ama anatakiwa na YEYE apumzike ampishe Mwinyi ama ...

Japo sio sio lazima kusema kila unachosikia, kwa sababu sometimes sio kila unachosikia from within ni sauti kutoka kwa Mungu au ni maono, sauti nyingine ni sauti za shetani tuu na sio sauti za Mungu, kama zilivyo ndoto nyingine, ni ndoto za shetani kama ile "ndoto ya Lema", ukisikia sauti ukahisi inaweza isiwe sauti ya Mungu, au ukiota ndoto ya jambo la ajabu ajabu ukahisi jambo hilo sio la kheri, sio lazima uliseme). Mfano ni tangu August 14, 2014 nilielezwa rais ajaye wa Tanzania ni Magufuli, na nilielezwa sababu kwanini ni Magufuli, nami nikaeleza humu lakini sikuzisema.

Hiyo 2014 wakati mimi nikisema mgombea wa CCM kwa 2015 ni Magufuli, wakati huo unaweza kukuta hata JPM mwenyewe alikuwa hajui kuwa ndiye yeye.

Hivyo hata sauti hii niliyoisikia leo, 2022, kuhusu 2025, usikute hata Samia mwenyewe hajui, na kwasababu ni Rais Samia aliyependekeza 2025 twende na mgombea mwanamke, unaweza kuta ni Samia anajipanga kuendelea, huku Dr. Mwinyi akiji set kwa his second term in Zanzibar, wala hahui kuwa yeye ndiye rais wa JMT, 2025.

Hata ile siku niliyoisikia sauti hii
Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... Spika Job Ndugai hakujua hatakuwa Spika, wala Dr. Tulia hakujua kuwa yeye ndiye spika ajae.

Hata ile siku namzungumzia huyu DC, Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam DC mwenyewe alikuwa hajui, na watu humu wakanidhania mimi ni mtu wa kule naniliu na kudhani nimeleta za jikoni.

Hili sasa ni langu, hili la Mwinyi kuja huku, usikute ni mpango ya YEYE, kumfanya huyu jamaa Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii
Hata wakati nikiandika hayo, Dr. Shein alikuwa hajui, hivyo saa hizi, usikute huyu jamaa wala hajajijua yeye ndiye rais ajaye wa Zanzibar

Hitimisho
Kwa vile mimi ni Msukuma, naweza kutuhumiwa ni sehemu ya Sukuma Gang wasiotaka Samia aendelee 2025 to 2030. Naomba kwanza niwathibitishie I don't believe hiki kitu kinachoitwa Sukuma Gang kina exist. Mimi ni Msukuma na sio Sukuma Gang, ila pia ni Mimi ndio nilimtabiria Samia urais wa JMT toka 2017, Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020
nikashauri Blaza asigombee 2020 ampishe Samia, but no one takes me seriously, you never know, kama JPM angeusikiliza ushauri wa bandiko hili Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” nilishauri

probably ange...
Mwaka 2020 nikasema humu "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
nilisema

Hivyo it's up to Mama, kuna kitu nimeambia ni kwa nini Mama amuombe Mwinyi, ila sio lazima kusema kila kitu. Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Hivyo mpaka umelisikia hili nimelisema, ujue lina maslahi kwa Taifa.

Kitu muhimu ni nimesikia sauti, nimesema nilichosikia, nimetimiza wajibu wangu.

Paskali
(Mzee wa The Voices Within)

Mchango very objective


Mkuu idawa , kwanza asante sana kwa mchango wako na uwezo wako wa kunisoma in between the lines, ila naomba nikuhakikishie, it's not my making, it's the voices from within!.

Sikukisema vyote nilivyo ambiwa, na hiyo sauti labda nikivisema vyote itasaidia kwa kuvi mitigate kabla ya 2025 ili Mama aendelee.

Kinachonifanya nisiseme kila kitu ni kwasababu kauli nyingine huumba!. Nisije nikasema humu, halafu yakatokea ya kutokea tukaaanza kunyoosheana vidole!.

Hata mimi kujiunga JF nikauli za wana JF
ile 2008 nikiwa naendesha bike Morogoro Rd mitaa ya Manzese, kuna mwana JF akanianzishia uzi kuhusu uendeshaji wangu wa bike.

Kilichofuata hata wiki haikupita... mimi chali!. Uzi ule wa kwanza ukafutwa na kupandishwa huu
Pascal Mayalla apata ajali..... na ndipo nami nikatua rasmi humu JF na baada ya mwaka nikatoa shukrani
Waraka wa Pascal Mayalla - Asanteni Sana!
from then mimi ni mtu makini sana



P
Sawa
 
Wanabodi
Haya mambo ya mtu kusikia sauti, sio mambo ya ulimwengu huu wa mwili, haya ni mambo ya ulimwengu wa Roho.

Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading, ni unasikia tuu sauti inakuambia jambo fulani bila kuambiwa sababu na huwezi kuuliza, hivyo nami naomba kuwaeleza tuu sauti niliosikia na naomba msiniulize kitu kwasababu sio mimi ni sauti

Leo nilikuwa naandika bandiko fulani humu JF, ndipo ghafla nikaisikia sauti (voices from within) kuwa Rais wa JMT kwa 2025 should be Dr. Hussein Mwinyi kwa kipindi kimoja, then 2030 ndipo tuje na mgombea mwanamke!.

Sauti hiyo inamaanisha inamtaka Rais Samia awe ni Rais wa JMT kwa kipindi kimoja tuu hadi 2025. Sauti hiyo ikasema ni Rais Samia mwenyewe willingly anatakiwa kumuomba Dr. Hussein Mwinyi, 2025 aje kugombea urais wa JMT, kuimalizia awamu ya pili ya Samia, kwa awamu moja tuu,.

Na kipindi hicho cha 2025- 2030 ndio sasa sasa tufanye grooming ya Mwanamke atakagombea urais wa JMT kwa 2030.

Japo Tanzania, tulipania 2025 twende na mgombea mwanamke, na mimi niliunga mkono hoja hii Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
kama hii sauti ni yake YEYE kweli, then unamaanisha kwa uchaguzi wa 2025, Tanzania tuna mgombea mmoja tuu Mwanamke, yaani the one and only ambaye ama anatakiwa na YEYE apumzike ampishe Mwinyi ama ...

Japo sio sio lazima kusema kila unachosikia, kwa sababu sometimes sio kila unachosikia from within ni sauti kutoka kwa Mungu au ni maono, sauti nyingine ni sauti za shetani tuu na sio sauti za Mungu, kama zilivyo ndoto nyingine, ni ndoto za shetani kama ile "ndoto ya Lema", ukisikia sauti ukahisi inaweza isiwe sauti ya Mungu, au ukiota ndoto ya jambo la ajabu ajabu ukahisi jambo hilo sio la kheri, sio lazima uliseme). Mfano ni tangu August 14, 2014 nilielezwa rais ajaye wa Tanzania ni Magufuli, na nilielezwa sababu kwanini ni Magufuli, nami nikaeleza humu lakini sikuzisema.

Hiyo 2014 wakati mimi nikisema mgombea wa CCM kwa 2015 ni Magufuli, wakati huo unaweza kukuta hata JPM mwenyewe alikuwa hajui kuwa ndiye yeye.

Hivyo hata sauti hii niliyoisikia leo, 2022, kuhusu 2025, usikute hata Samia mwenyewe hajui, na kwasababu ni Rais Samia aliyependekeza 2025 twende na mgombea mwanamke, unaweza kuta ni Samia anajipanga kuendelea, huku Dr. Mwinyi akiji set kwa his second term in Zanzibar, wala hahui kuwa yeye ndiye rais wa JMT, 2025.

Hata ile siku niliyoisikia sauti hii
Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... Spika Job Ndugai hakujua hatakuwa Spika, wala Dr. Tulia hakujua kuwa yeye ndiye spika ajae.

Hata ile siku namzungumzia huyu DC, Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam DC mwenyewe alikuwa hajui, na watu humu wakanidhania mimi ni mtu wa kule naniliu na kudhani nimeleta za jikoni.

Hili sasa ni langu, hili la Mwinyi kuja huku, usikute ni mpango ya YEYE, kumfanya huyu jamaa Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii
Hata wakati nikiandika hayo, Dr. Shein alikuwa hajui, hivyo saa hizi, usikute huyu jamaa wala hajajijua yeye ndiye rais ajaye wa Zanzibar

Hitimisho
Kwa vile mimi ni Msukuma, naweza kutuhumiwa ni sehemu ya Sukuma Gang wasiotaka Samia aendelee 2025 to 2030. Naomba kwanza niwathibitishie I don't believe hiki kitu kinachoitwa Sukuma Gang kina exist. Mimi ni Msukuma na sio Sukuma Gang, ila pia ni Mimi ndio nilimtabiria Samia urais wa JMT toka 2017, Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020
nikashauri Blaza asigombee 2020 ampishe Samia, but no one takes me seriously, you never know, kama JPM angeusikiliza ushauri wa bandiko hili Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” nilishauri

probably ange...
Mwaka 2020 nikasema humu "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
nilisema

Hivyo it's up to Mama, kuna kitu nimeambia ni kwa nini Mama amuombe Mwinyi, ila sio lazima kusema kila kitu. Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Hivyo mpaka umelisikia hili nimelisema, ujue lina maslahi kwa Taifa.

Kitu muhimu ni nimesikia sauti, nimesema nilichosikia, nimetimiza wajibu wangu.

Paskali
(Mzee wa The Voices Within)

Mchango very objective


Mkuu idawa , kwanza asante sana kwa mchango wako na uwezo wako wa kunisoma in between the lines, ila naomba nikuhakikishie, it's not my making, it's the voices from within!.

Sikukisema vyote nilivyo ambiwa, na hiyo sauti labda nikivisema vyote itasaidia kwa kuvi mitigate kabla ya 2025 ili Mama aendelee.

Kinachonifanya nisiseme kila kitu ni kwasababu kauli nyingine huumba!. Nisije nikasema humu, halafu yakatokea ya kutokea tukaaanza kunyoosheana vidole!.

Hata mimi kujiunga JF nikauli za wana JF
ile 2008 nikiwa naendesha bike Morogoro Rd mitaa ya Manzese, kuna mwana JF akanianzishia uzi kuhusu uendeshaji wangu wa bike.

Kilichofuata hata wiki haikupita... mimi chali!. Uzi ule wa kwanza ukafutwa na kupandishwa huu
Pascal Mayalla apata ajali..... na ndipo nami nikatua rasmi humu JF na baada ya mwaka nikatoa shukrani
Waraka wa Pascal Mayalla - Asanteni Sana!
from then mimi ni mtu makini sana



P
Asante umebarikiwa kuwa na mungu asiyetaka mambo ya uchaguzi wa rais nchini Tanzania, huenda huyo mungu wako aliona wewe na kundi lako mmezoea kupiga vikumbo kura za wananchi.
Hongera endeleeni kugawana urais huku sisi tukiambulia umasikini uliokithiri, wenzetu walimpata Mungu anayewapa mawazo ya kuitoa nchi kwenye ufukara iwe na nuru nyie mnawaza kupeana urais miaka nenda miaka rudi mkiujenga umasikini.
 
Paskali mzee wa voices from within or ancestral umekuwa unatabiri mambo mengi na kugeuka ukweli. Mi nakuunga mkono lakini sababu zangu zinatokana na Mrumishi mmoja wa mungu kutoka Zimbabwe Dr Ian Ndlovu mtafuteni you tube msikilize prophecy zake kuhusu Namba wani.



Lakini kwa mtazamo wangu usemi wako wa ampishe Mwinyi halafu yeye aje agombee baadae sidhani kama itawezekana. Ukimsikiliza mtumishi huyu wa mungu anasema mheshimiwa kuna makosa ya kiutendaji atayafanya na asipokuwa mwangalifu qoute " People from within her party will try to remover her. Binafsi naona suala la Kupanda gharama za mafuta na maisha kwa ujumla halipewi uzito unaostahili na wahusika, Nafikiri pia issue iliyomngoa Ndugai na hawa wanaomsagia kunguni mwendazake kila kukicha kwenye majukwaa mbalimbali ikiwemo humu online hawana siha kwenye mustakabali kwa wananchi.

Binafsi napenda raisi wangu aendelee kutuongoza na mola amlinde na ampe hekima,akili zaidi na busara za kutatua changamoto zinazotukabiki wananchi moja kwa moja na si kutegemea mawaziri wakae vikao ndio waje watende. Na naamini Mama atatupa mkeka wa katiba mpya 2026 na hiyo itawaumiza zaidi wale chawa wa chama chake wasiojua kuwajibika,Kazi iendelee mama mpaka 2035.

2025 ni mbaal mno, Kwa mfano Nan aweza kutabiri Bei za mafuta kufika December 2022, tutanunua petrol Kwa sh ngap?? Busara itumimike mapema!!!!
 
Mkuu Babe la mji , kweli madaraka ni matamu, ila haya mambo ya sauti sii yetu ni over and above us hivyo kuyasema ndiko kusaidia kwenyewe.

Kama JPM angejua he is a one term president kuna mambo angefanya vizuri zaidi kuliko alivyofanya. Kwa mujibu wa katiba yetu, urais wa JMT ni 5 year term with possibility to extend to a second term but not necessarily, ndio maana hata mimi ninasupport kabisa Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
ila unaposikia sauti fulani, sema ulichosikia, ili wenye masikio wasikie
P
Mambo ya Nchi ni magumu Sana ni zaidi ya tujuavyo,wachache Sana wanajua na wengi wetu tunaenda kwa mkumbo.Haya mambo hayatokei kwa bahati mbaya ni long term planed na Kuna watu walizaliwa waje watawale kwa Sababu unabii uko hivo na Kila mtawala anaekuja Kuna kazi yake anakuja kuifanya.

Kiunabii wa utawala wa Tanzania baada ya Nchi kutoka gizani ambapo tupo Sasa hivi inaonyesha huyu ajae ndo ataleta mwanga manake Kila kitu kizuri kwa ajili ya nchi hii huyu ndo atakua mtengenezaji wa mifumo yote ili hatiamae chi isimame kwa ajili ya maendeleo.

Ilishapangwa hivo na itakua na hakuna mtu wa kupinga Hilo .
 
Back
Top Bottom