Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Extrovert

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
70,785
Reaction score
186,690
Hii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this whip!




Ukiniambia ni gari gani naiwaza na kuiota kuja kuimiliki basi this is it. Its a dream hasa ile V6! Wenye uzoefu na hii gari karibuni mnipe mchanganuo wa wasifu wake zaidi sababu muda ukifika sitajiuliza mara 2!
 

Wajapani wenzako wa JF wanajua kama una mawazo kama haya?😁
 
Itabidi uniachie ile OpaπŸ˜€πŸ˜€
 
Mzee baba huoni au hujala mchicha siku nyingi?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!!

Hicho kiuchafu cha TaTa hapo juu kimekaa kama demu anakupa mbuzi kagoma utafananisha na Touareg na huo usafiri wa hapo chini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…