Hii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this whip!View attachment 1841907View attachment 1841908View attachment 1841909
Ukiniambia ni gari gani naiwaza na kuiota kuja kuimiliki basi this is it. Its a dream hasa ile V6! Wenye uzoefu na hii gari karibuni mnipe mchanganuo wa wasifu wake zaidi sababu muda ukifika sitajiuliza mara 2!
Itabidi uniachie ile OpaππHii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this whip!
View attachment 1841907View attachment 1841908View attachment 1841909
Ukiniambia ni gari gani naiwaza na kuiota kuja kuimiliki basi this is it. Its a dream hasa ile V6! Wenye uzoefu na hii gari karibuni mnipe mchanganuo wa wasifu wake zaidi sababu muda ukifika sitajiuliza mara 2!
Atakuwa hajawaambiaπππWajapani wenzako wa JF wanajua kama una mawazo kama haya?π
Kabisa. Exrovert ndo wewe wa jinsia za magari siyo?πππ ya kike na ya kiume.Ya ukweli sana yani dah kila nikiiona napata goosebumps π€© hapa mjerumani alitulia mno!
Mzee baba huoni au hujala mchicha siku nyingi?πππ!!!Kabisa. Exrovert ndo wewe wa jinsia za magari siyo?πππ ya kike na ya kiume.
Embu nijulishe hiyo Murano hapo chini na harrier kuna tofauti gani na hiyo ya kiume VW?
View attachment 1841926
View attachment 1841924View attachment 1841925
Hahaha, sasa mbona hata mnyama kabinua tigo tu? Acha hizo ideologyπ€£π€£Mzee baba huoni au hujala mchicha siku nyingi?πππ!!!
Hicho kiuchafu cha TaTa hapo juu kimekaa kama demu anakupa mbuzi kagoma utafananisha na Touareg na huo usafiri wa hapo chini!
Mzee baba huoni au hujala mchicha siku nyingi?[emoji23][emoji23][emoji23]!!!
Hicho kiuchafu cha TaTa hapo juu kimekaa kama demu anakupa mbuzi kagoma utafananisha na Touareg na huo usafiri wa hapo chini!