Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soko la SUV limeingiliwa sana sahiziHapo vipi?View attachment 1842094
$70,000-80,000Bei gani !?
Zikiwa mpya hazina shida. Tatizo tunanunua zenye miaka 15 plus then tunataka ziwe kama mpya.Hivi hii gari haina usumbufu sumbufu lakini kama tulivyozoea mjerumani au matatizo ni yale yale tu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]Mzee baba huoni au hujala mchicha siku nyingi?[emoji23][emoji23][emoji23]!!!
Hicho kiuchafu cha TaTa hapo juu kimekaa kama demu anakupa mbuzi kagoma utafananisha na Touareg na huo usafiri wa hapo chini!
Umemaliza na huu ndio ukweli 😀😀😀Zikiwa mpya hazina shida. Tatizo tunanunua zenye miaka 15 plus then tunataka ziwe kama mpya.
Trend ya consumers duniani wanataka SUVs sahivi.Soko la SUV limeingiliwa sana sahizi
BMW x1 is my favourite katika Beamers! Hio ndio naweza kuwa nililisema japo nimeshasahau!We jamaa bana...juzi si umesema BMW X6[emoji848][emoji848]
Leo Touareg tena[emoji134]
Ila interior design ni balaa na nusu nje ndo sio nzuri
Sio mchezo.....$70,000-80,000
Kupenda penda sio mbaya, hata mie kesho naweza penda ingine kama RS6.. alafu napenda sana hata Ferrari ila access ndio baraaaBMW x1 is my favourite katika Beamers! Hio ndio naweza kuwa nililisema japo nimeshasahau!
Hahahah hizo gari zote nazopenda mie zina range humo humo kwenye 35-40M kwangu ni ndoto ambayo inatimizika kabisa! Siwezi kuzungumzia Roz Roisi kama sadala 😂😂😂Kupenda penda sio mbaya, hata mie kesho naweza penda ingine kama RS6.. alafu napenda sana hata Ferrari ila access ndio baraaa
Kataaa ila G ni G tu mkuu, heshima inabaki pale pale.. kwamba upo kwenye G wagon.. sema vipi mwenye 2021 heshima inakuwa juuHilo nakataa sio kwa hii hapa mjomba.
View attachment 1842110
kwangu ni toleo bora toka nilipoanza kuiona hio gari enzi za Bony & Clyde ya jigga
Ni nzuri kuota ndoto zinazo tekelezeka 😀😀😀Hahahah hizo gari zote nazopenda mie zina range humo humo kwenye 35-40M kwangu ni ndoto ambayo inatimizika kabisa!