Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ratiba yake ya kukunyofoa ipo pale pale, sema nini ongeza speed kuziita pesa, na kuongeza mvuto kwa pesa ili zijilete zenyewe zaidi na zaidi.. pesa ikupende tu yani mbona easy hayoMi namuomba Sir God asinyofoe roho yangu kabla sijasukuma huu mtumba daah[emoji134][emoji134][emoji22]
Mpaka huwa naota kitandaniView attachment 1842119View attachment 1842120
Tatizo ni wewe kununua 15+ years old car na kutaka iwe kama ya 2021Kwahio tatizo ni kwamba hatununui zikiwa mpya kabisa!
Hii 2020 X series ukiiona utaipenda broKweli kila mtu ana ndoto ila mie sina ndoto za kuendesha gari chakavu kwakweli [emoji23][emoji23][emoji23] hio 110X ndio gari sasa sio mtu anawaza kuendesha gari ya mwaka 1960!
X6 now days zimekuwa cheap kama huna makeke una sukuma hiyo chuma. Sema sijawai zipenda kabisaaa.. kwenye BMW nazo zielewa na M series na hasa hiyo BMW M5..Yule jamaa yako alieagiza x6 kodi zikapanda iliishiaje ile ngoma ๐ hukutupa mrejesho
Ndio za kutumia kwenye matukio hizo ๐๐๐ hata mfumanizi akiona anajua wajeda.. anapoa ๐๐Huenda haziingii bomu wala risasi ila sie hatujui
Uliyumba mzee naona kama Robertson ilihusika siku ile! Haikuwa akili ya kawaida๐ sema yote heri!X6 now days zimekuwa cheap kama huna makeke una sukuma hiyo chuma. Sema sijawai zipenda kabisaaa.. kwenye BMW nazo zielewa na M series na hasa hiyo BMW M5..
Ratiba yake ya kukunyofoa ipo pale pale, sema nini ongeza speed kuziita pesa, na kuongeza mvuto kwa pesa ili zijilete zenyewe zaidi na zaidi.. pesa ikupende tu yani mbona easy hayo
IoneKweli kila mtu ana ndoto ila mie sina ndoto za kuendesha gari chakavu kwakweli [emoji23][emoji23][emoji23] hio 110X ndio gari sasa sio mtu anawaza kuendesha gari ya mwaka 1960!
Kitabu cha maisha aliki hack mtu.. ila haina noma yaani ๐๐๐. Jana nimekaa na mshua hadi night ndio nika mrudisha kwaoUliyumba mzee naona kama Robertson ilihusika siku ile! Haikuwa akili ya kawaida๐๐๐
Unyama flani hivi๐๐
Hatari[emoji23][emoji23]Unyama flani hivi[emoji4][emoji4]
Za wajeda zile ni humvee sio hizi G wagon pure.. kama wanazo chache sana.Wajeda wengi wanazo zile model za 1999
Mkuu huyo anae chora tatoo ni wewe ๐๐๐Hatari[emoji23][emoji23]
Masaki ๐๐๐Eeh meza meza busara za mwamba maana tuendako huko busara inahitajika sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu huyo anae chora tatoo ni wewe [emoji3][emoji3][emoji3]