Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Mi namuomba Sir God asinyofoe roho yangu kabla sijasukuma huu mtumba daah[emoji134][emoji134][emoji22]

Mpaka huwa naota kitandaniView attachment 1842119View attachment 1842120
Ratiba yake ya kukunyofoa ipo pale pale, sema nini ongeza speed kuziita pesa, na kuongeza mvuto kwa pesa ili zijilete zenyewe zaidi na zaidi.. pesa ikupende tu yani mbona easy hayo
 
Kweli kila mtu ana ndoto ila mie sina ndoto za kuendesha gari chakavu kwakweli [emoji23][emoji23][emoji23] hio 110X ndio gari sasa sio mtu anawaza kuendesha gari ya mwaka 1960!
Ione
2d4a70154b496d1532ff1a68bcc52bba.jpg
 
Back
Top Bottom