Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
ππππππππMotivational speaker Katika ubora wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππππMotivational speaker Katika ubora wake
Hamna intern nije kufanya filed ππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kazi tu kama kazi
...huwezi amini hatuioni hiyo ndinga ake mpaka leo na ukimuuliza anakuwa mkali balaa[emoji848]Yule jamaa yako alieagiza x6 kodi zikapanda iliishiaje ile ngoma [emoji23] hukutupa mrejesho
0 km?Tzs 35mill tu za kitanzania. Chap goma ndani ya parking
Ivi huwa wanayauza au wanauziana yaki expire kwa matumizi yao ?No.. hawa private wanasukunaga G wagon sio mara moja nimepishana nazo zina plate nyeusi zile
Dah hizi kama majaribu hasa ma celeb wenuHamna intern nije kufanya filed [emoji3][emoji3]
Mwenzenu mi naipenda kinoma yaan!X6 now days zimekuwa cheap kama huna makeke una sukuma hiyo chuma. Sema sijawai zipenda kabisaaa.. kwenye BMW nazo zielewa na M series na hasa hiyo BMW M5..
Kuna msemo unasema majaribu ni mtaji mkuu.. kama chance ipo nipe pande tuDah hizi kama majaribu hasa ma celeb wenu
Ha ha haMotivational speaker Katika ubora wake
Ngoja nione. Ungependa ushughulike na yupi kwa hawa ma celeb wa kike wiki hii zipo order zao mkuuKuna msemo unasema majaribu ni mtaji mkuu.. kama chance ipo nipe pande tu
Mwenzenu mi naipenda kinoma yaan!
Bei bado imesimama mkuu, ngoja nikuletee mchanganuo
Kuna nyingi zimeingia zina rangi ya kijani mpya, au unazungumzia za zamani kabisa?Ina maana yale sio mjerumani yale kumbe!?πππ mi huwa nahisi ni model za 1990 zile
Ilikuwaje mkuuUnyama tu, hii kuna mmbongo aliagiza ilivyotoka tu aisee
Mkuu usisahau Mtanzania wa kipato cha Kati chini gari yake CIF haizidi $3000View attachment 1842145
Hizi hapo, ukitulia ukachanganya karata zako.. mbona una nyongo ndinga hiyo.. kama una kipata kizuri kwa mwaka, ni miaka yako mitano tu.. unavuta hapo hata kufa itakuwa bado ππ