Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Hadi jeshini wanapigwa mtu mbad ππππ.. zile za jeshi famba, huwa nazitamaaa hazina kabisa ule u G wagon wenyewe. Kuna Padre wangu mmoja miaka ya nyuma alikuwa nayo hii G wagon yenyeweIna maana yale sio mjerumani yale kumbe!?πππ mi huwa nahisi ni model za 1990 zile