Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepata bei, hope soon unaagiza mkuuSio mchezo.....
Kama ofisini kabisa πππFenicha za Touareg hizo[emoji119]View attachment 1842111View attachment 1842112
still hooked on x5BMW x1 is my favourite katika Beamers! Hio ndio naweza kuwa nililisema japo nimeshasahau!
Acha nikakae mlimani city nifakamie makahawa yangu Golf R nazo nazielewa kinoma noma.. πππEeh maana zisije zikawa njozi za mfalme Juha πππ
Anazifungulia tarehe ngapi.. ni set reminder hapa kwenye simuwacha mama azifungulie pesaaa ... walahi tutamiliki hiz mambo siku moja π π π π π
Hilo nakataa sio kwa hii hapa mjomba.
View attachment 1842110
kwangu ni toleo bora toka nilipoanza kuiona hio gari enzi za Bony & Clyde ya jigga
Mungu yuko pamoja nasi aisee litatimia tuMi namuomba Sir God asinyofoe roho yangu kabla sijasukuma huu mtumba daah[emoji134][emoji134][emoji22]
Mpaka huwa naota kitandaniView attachment 1842119View attachment 1842120
Kitu push to start...mzungu nyokoo kabisa[emoji848]Kama ofisini kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
G Wagon achana nazo hizo machine, kuipundua hadi uimwage mwenyewe πππHio nafuu mzee sema tu nimekuja gundua hii gari imetengenezwa na mfumo special wanadai ni kama millitary car ndio maana bei zake ni mkasi! Latest model ime clock $157,500 mzee
Yupo Boko au ππMungu yuko pamoja nasi aisee litatimia tu