Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchina zote zile nazijua,jeshi letu halijaweza miliki hizo,gari hizo kwa wingi zililetwa na kanisa katoliki nao zilikua za msaada.Zile za zamani zamani zinaonekana kama matoleo ya miaka ya 90 zile ukiiona ni benzo kabisa yani! G Class
Mwezi wa 8 hauishi nikijaaliwa uzima,nimejipanga 2 years haaa haaaPambana aisee, kuna chalii yangu anaipush DWE mzee kaiopoa soon
'I am overqualified to know that amatuer thing'.Toyota zinazouzwa ulaya na Marekani hazifananj na hizi zetu.
Usije ukaona zote zimeandikwa toyota ukajua ziko sawa.
Usije ukasema na Ile michina waliyonayo police(Great wall motors) siku hizi nayo ni bmw X5.Sasa zile benz gani mzee maana ni kama hizi hizi G class
Aisee utakua unaishi dunia yako.Asilimia kubwa ni choka mbaya Kwa level za wazungu
Kweli aisee, ndanda mission niliiona, mtwara stella Maris niliiona zote zipo missionMchina zote zile nazijua,jeshi letu halijaweza miliki hizo,gari hizo kwa wingi zililetwa na kanisa katoliki nao zilikua za msaada.
Nyingi zilikua Njombe,Peramiho na Ndanda wengi wanaozimiliki wamezitoa huko,hakuna taasisi wala kampuni ilikua na ubavu wa kuingiza gari hizo kwa matumizi ya ofisi
Enzi hizo mtaani kwetu Kuna dingi mmoja alinunuaga hio ndinga baada ya Muda akasimamishwa kazi kuchunguzwa(alikua serikalini) nikawa nashangaa tu maana Gari yenyewe Nilikua nalionaga baya kishenzi afu hata ndani halikua confortable, Nilikua nalinganisha na Mb ML320 ya enzi hizo(hii nimeipanda na kuiendesha kila J2 kwenda church na kwny matukio maalum) ambako Nilikua naliona confortable kichizi.Mchina zote zile nazijua,jeshi letu halijaweza miliki hizo,gari hizo kwa wingi zililetwa na kanisa katoliki nao zilikua za msaada.
Nyingi zilikua Njombe,Peramiho na Ndanda wengi wanaozimiliki wamezitoa huko,hakuna taasisi wala kampuni ilikua na ubavu wa kuingiza gari hizo kwa matumizi ya ofisi
Corolla modelya kwanza kabisa ? Sio hii😄😄😄 Na ndio Gari inayoshikiria record ya dunia ya kwa kuuzwa kwa wingi kuliko Gari yoyote Ile duniani.
Unaweza kunieleza maana ya hii sentence mkuu.Corolla modelya kwanza kabisa ? Sio hii
Picha mkuuKuna Corrola SUV..
Umeiona?
Nimeiona iko bomba sanaKuna Corrola SUV..
Umeiona?
Halafu poyoyo mmoja wa kutoka mabibo mwisho anadiss GDP ya $63,000 kwa mwaka! Hio ni Equivalent kama na 150M za kibongo bongo kwa kila mwananchi mmoja wa Marekani😅😅😅!
Jamaa atakuwa na exposure ya mbele sanaKuwa serious mzee!
Mawazo yangu yote model ya kwanza ndio iliwapa umaarufu na kuuza sana kuliko zilizofuata... kumbe ni tofauti?Unaweza kunieleza maana ya hii sentence mkuu.
'Toyota reached the milestone of 44 million Corollas sold OVER TWELVE GENERATIONS in 2016'.
Million za tzs ngap z??