Hata ukiwa na hela ya kuchezea usimpe gari mwanamke ambae huna malengo nae.Real Men wamebaki Bhakressa, Said Simba wa GSM na Mo Dewji japo naskia Mo Bahili kuliko mimi π!!!
Mengi, Patel na Zakaria washadanjaπ...lol!
Mie ningekuwa na ukwasi huo ningempa zawadi bibie πππ maana mademu wa kibongo wengi chenga tupu! Unapewa zawadi ya gari 200M halafu unaanza visa vya ajabu mara tumeachana! Unagongwa na mwalimu wa GYM hahahaπ
Mungu akujalie vyanzo vya kipato vya kutimiza ndoto, maono na haja za moyo wako zote πSay it again[emoji120]
Mi bora nitembee na miguu nijue moja, kuburuzana kwenye lami asee siwezi[emoji22]Nimegundua madem wengi wanapenda SUVβs kuliko tugari twa chini tule![emoji28][emoji28][emoji28]
Ujue gari kwa wengine kama ni simu mkuu.. kitu kidogo sana kwenye wenye roho za ki rasi.. mapenzi kujengana hata kama mtaachana.. kama hela ipo una mpa tu ... πππHata ukiwa na hela ya kuchezea usimpe gari mwanamke ambae huna malengo nae.
Sedan zipo sex hatari, inategema unatembelea sedan gani.. sema zinataka nidhamu kutokana na barabara zetu, mie SUV hata ulete ya aina gani siitaki naenda chini tu πMi bora nitembee na miguu nijue moja, kuburuzana kwenye lami asee siwezi[emoji22]
π π π wabongo wamekaliliKi Golf kizuri sana
Eeh mtaaan hawajui magari asee
Nilishuka kwenye hiyo BMW X6 la kuomba, mijinga inapita getin nasikia " ona harrier hiyo tako la nyani" kidogo nitapike[emoji36]
Kila mtu kitu anachopenda....binafsi napenda SUVSedan zipo sex hatari, inategema unatembelea sedan gani.. sema zinataka nidhamu kutokana na barabara zetu, mie SUV hata ulete ya aina gani siitaki naenda chini tu [emoji846]
ππππ huwa wanabaki wana shangaa tuHahah akikutana nayo barabarani akapelekewa Moto ndipo ataelewa.
Wa Olympio hawahusiki hapa?hahhWatoto wa Bunge Primary hao
Mkuu acha kabisa..
Ujue nyie ( wewe na holy) mnalionaga tu hamjawahi kuingia ndani na kulitekenya (kuwasha), ukafungua music [emoji134][emoji134]
Gari lile ni ndege ya ardhini, kitu kimetulia barabarani, sterling laini soft kama ngozi ya Zari
Aah acha nitafute hela asee, yule mzungu anaenjoy asee na huu mchuma[emoji848]
Ni kweli, kabisa. Pia wengine tunapenda ma mbio that why sedan inabaki kuwa namba moja.. SUV ni tamu sanaKila mtu kitu anachopenda....binafsi napenda SUV
Na sio kwamba sijawahi endesha hizo saloon car nimeziendesha then nikahamia kwenye SUV ule utofauti wa kunesa juu na kuburuza chini, hapo ndo nilifanya maamuzi..
Product gani zaidi ya service ya utelezi π π π maana ndio kitu pekee utapewa tu na kuitwa majina mazuri!ππππ vya bure havipo ukweli, cha kwanza lazima uwe na product mfanye exchange. Ni kweli ipo siku yako tu mkuu utapata, hata mmbuyu ulianza kama majani
Mimi Niko opposite na wewe.Kila mtu kitu anachopenda....binafsi napenda SUV
Na sio kwamba sijawahi endesha hizo saloon car nimeziendesha then nikahamia kwenye SUV ule utofauti wa kunesa juu na kuburuza chini, hapo ndo nilifanya maamuzi..
Najua nigga...we si una phonex halafu unaosha gari za shemeji yako[emoji16][emoji16]Mimi Niko opposite na wewe.
Khaaaa [emoji22][emoji22]Product gani zaidi ya service ya utelezi [emoji28][emoji28][emoji28] maana ndio kitu pekee utapewa tu na kuitwa majina mazuri!
Hahahah unapenda kunesa nesa hewani π π π aisee hio feeling ndio hata mie ninayoipenda sema upate ambalo liko stable with anti roll bars kama za mjerumani! Maana mie napenda kukimbia hasa nikiwa route ndefu gari isepe π π π !!! Touareg performance inakup hadi 280km/hKila mtu kitu anachopenda....binafsi napenda SUV
Na sio kwamba sijawahi endesha hizo saloon car nimeziendesha then nikahamia kwenye SUV ule utofauti wa kunesa juu na kuburuza chini, hapo ndo nilifanya maamuzi..
Ndio ila kuna gari za chini zina heshima zake and very expensive sasa ukute mtu kapaki RR si inabidi apishwe kwa umakini isikwanguliwe na vyombo vingine wa usafiriπππNimegundua madem wengi wanapenda SUVβs kuliko tugari twa chini tule!π π π