Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Ila mbona hizi tunazikarisha njiani na vi baby walker vyetu .. kama hizi V8 nyingi sana tunazisomesha namba ziki jichanganya4500 CC
Hiyo engine weka mbali na kids
Niambie unatumia barabara gani, nidamke siku moja alfajiri nishuhudie ππAseee mkuu natamani uone huo mtanange...kuelezea huwezi elewa[emoji848]
Aaah wapi ...sisi tunaamua kuwakaushia tu, mjidai msijione wanyongeIla mbona hizi tunazikarisha njiani na vi baby walker vyetu .. kama hizi V8 nyingi sana tunazisomesha namba ziki jichanganya
Kuna watoto wapo msumbiji hapo.....Yeah ila kwa mkaburu documents sindio inakuwaga miyeyusho
πππππππ mrembo unafungua turbo unapepea!Aaah wapi ...sisi tunaamua kuwakaushia tu, mjidai msijione wanyonge
Matraffic wawanyanyase na sisi tuwanyanyase? Hell no....tunawaacha mvimbe barabarani
Ila mkituchosha na misifa yenu, ndo hivo tunafungulia turbo tunawaachia manyoya tu
Ahaaaahaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbavu zangu aseeHahahahah uko njema ila nimejaribu ku google imekuja Nissan Civilian Mini bus [emoji28][emoji28][emoji28]
Yuko hapa anasoma huu uzi[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787]Hatokaa ajue naamini hauishi mjini kwa hisani yake!
Bagamoyo Road dear...Niambie unatumia barabara gani, nidamke siku moja alfajiri nishuhudie [emoji3][emoji3]
ππππ. Huenda anawashinda wasio shindana .. kuna ile mtu upo na mbio zako unawapita watu wanakutazama tu, wala hawana issueAnaleta utani huyo mwambie SUV inayotusumbua ni VXR na Y62 V8 ila kuanzia Prado na wengine wote tunapiga tunavyopenda!
Yaani kama roketi inaacha mashudu tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mrembo unafungua turbo unapepea!
Kesho nitakaa pale lugalo.. nione huo moto ππBagamoyo Road dear...
Tena siku hizi ukiingia site yao wameweka chat box wasumbufu balaaHahahah nitawapigia simu [emoji23]
Mkuu, siku hizi sikimbizi gari, sijui nimepatwa na nini.. hata staret zina nichapa kavu kavu ππππ.. nimebaki kuwa mtazamaji tuUmchape na mwana Quattro π π π
Hayo magari niliyotaja kama wewe ni mshinda barabarani utajua...wanapenda mashindano mnoo mnoo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Huenda anawashinda wasio shindana .. kuna ile mtu upo na mbio zako unawapita watu wanakutazama tu, wala hawana issue