Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Sidhani kama ni ile , nimejikuta nakuwa mvivu kila nikitaka kupeleka moto najikuta mzito sanaa.. juzi kati nilikuwa na ka trip kadogo, hadi ist walikuwa wana nichakaza [emoji3][emoji3]
Utakuwa umeanza kuwa babu magegoo[emoji16]
 
Utakuwa umeanza kuwa babu magegoo[emoji16]
Tunachoka tu, tushapiga ligi nyingi.. tumeona uwezo wetu.. nasubiri siku nikivuta kitu cha 600HP nifanye ligi ya mwisho kama atatokea mtu wa kufukuzana nae.. ila kwa vigari ambavyo ninavyo sasa hivi hapanaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kuandikia mate ya nini...nataka nikudhalilishe wewe wewe uje utoe ushuhuda humu na usifiche ukweli..let's game show up

Uko tayari?
Mie siwezi mkuu.. nikupe RRONDO au ISO M.CodD ndio ma master wetu, sie wanafunzi huenda tukachafua heshima ya jukwaa na heshima ya madereva kwa ujumla kwa kubuluzwa na mdada πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…