Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Hii chuma unakaa na msela wako tu wa damu, mnachapa mwendo wa kibabe mziki mnene yaani maisha yanakuwa ni mule mule ππππ.. tunakiwasha zetu Dar to Mwanza kula mabata..Tatizo itakuwa gumzo mji mzima unaweza ukashangaa umekuwa celeb bila kushika mic
Mzee wa fingering πππHaka kakitu msando alinunua kale katoleo ka zamani π π π
Mambo ya aibu tupu hayo[emoji16][emoji16]Alafu ukipata kitaa wanaona kama Carini TI
Ukiingia hutamani kutoka, mda wote utatamani uwe unaendesha kitu cha V10 kwanza hichoKitu Quattro, mwewe wa ardhini..tamu kinomaa[emoji39][emoji39]
Humo ndani sasa hizo fenicha[emoji848][emoji848]
Majambazi uchwara lazima wazame geto kwako wanajua unamiliki $ chini ya kapetiTatizo itakuwa gumzo mji mzima unaweza ukashangaa umekuwa celeb bila kushika mic
Aah nimesalimu sina hamuSi ndio unajifunza [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], kila kitu mazoe na kujifunza mwisho wa siku unakuwa master
Mie hata kujua ninapo ishi ni kipengele mkuu ππππ.. hao majambazi wata fail tu.. hii chuma lazima nipaki ndani ya miaka mitano.. na siku ikifanikiwa kama tupo wazima wote lazima niwape wadau wai test kwanza πππMajambazi uchwara lazima wazame geto kwako wanajua unamiliki $ chini ya kapeti
Ni mwendo wa kutembezewa mapanga ya masikio utaje ilipo chapaa
Unaogopaje, mie nina ki staret tu unanichapa mapema kabisaaaAah nimesalimu sina hamu
Road tamu ambayo haina wenge ni kuanzia pale Boko kwa mlachumvi hadi kerege no bums wala foleni, iwe ni siku ya jumapili udamke saa 12 wee utafurahi na roho yakoEeh wamezisawazisha now ni speed mshale tu unainama naz na kuinuka nazo haina kupoa
Yule anajua sana vitu...ila jana sijui alikula kiporo gani daahHahahah ndio kuna yule fala anadai eti Marekani ni Masikini ndio ambao wanaweza kuita hii gari Carina Ti
Akawa anawakokotoa wakina gigy ndani...falaa sanaHaka kakitu msando alinunua kale katoleo ka zamani [emoji28][emoji28][emoji28]
Basi jumapili tukatane hapo kwa mlachumvi mitaa ya saa 12 tufanya mazoezi madogo tu πππRoad tamu ambayo haina wenge ni kuanzia pale Boko kwa mlachumvi hadi kerege no bums wala foleni, iwe ni siku ya jumapili udamke saa 12 wee utafurahi na roho yako
Gari za ulaya ndani zina kauzuri kake, ukiingiza hawa watoto wa uswazi zina mlegeza.. kama nidhamu zero basi unaanza mambo ya msando πππ.. mwisho wa siku mzinga puuuAkawa anawakokotoa wakina gigy ndani...falaa sana
Usinisahau mkuu...mi napenda kutoa nuksi kwenye mandinga ya maana[emoji1787][emoji1787]Mie hata kujua ninapo ishi ni kipengele mkuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].. hao majambazi wata fail tu.. hii chuma lazima nipaki ndani ya miaka mitano.. na siku ikifanikiwa kama tupo wazima wote lazima niwape wadau wai test kwanza [emoji3][emoji3][emoji3]
Kikubwa tuwe hatujafa tu mkuu πππUsinisahau mkuu...mi napenda kutoa nuksi kwenye mandinga ya maana[emoji1787][emoji1787]
Ila nina kabahati mweeh wenye nazo hawanibanii[emoji848]
Aah wapi we umepinda...ntakufa bure bado napenda kunywa Robertson [emoji16]Basi jumapili tukatane hapo kwa mlachumvi mitaa ya saa 12 tufanya mazoezi madogo tu [emoji3][emoji3][emoji3]
ππππ Robertson haya mkuu zitwange maisha ndio haya haya, kula maisha na kipupweAah wapi we umepinda...ntakufa bure bado napenda kunywa Robertson [emoji16]
Ndio maanaake maana watu ni wanadanja kama mchezo tu...si vijana si watotoKikubwa tuwe hatujafa tu mkuu [emoji3][emoji3][emoji3]
Haaahaa haaahaa...kifo cha kuzini tena ndani ya gari[emoji16][emoji16][emoji16]Gari za ulaya ndani zina kauzuri kake, ukiingiza hawa watoto wa uswazi zina mlegeza.. kama nidhamu zero basi unaanza mambo ya msando [emoji3][emoji3][emoji3].. mwisho wa siku mzinga puuu