Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Tatizo itakuwa gumzo mji mzima unaweza ukashangaa umekuwa celeb bila kushika mic
Hii chuma unakaa na msela wako tu wa damu, mnachapa mwendo wa kibabe mziki mnene yaani maisha yanakuwa ni mule mule ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€.. tunakiwasha zetu Dar to Mwanza kula mabata..
 
Majambazi uchwara lazima wazame geto kwako wanajua unamiliki $ chini ya kapeti

Ni mwendo wa kutembezewa mapanga ya masikio utaje ilipo chapaa
Mie hata kujua ninapo ishi ni kipengele mkuu ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€.. hao majambazi wata fail tu.. hii chuma lazima nipaki ndani ya miaka mitano.. na siku ikifanikiwa kama tupo wazima wote lazima niwape wadau wai test kwanza ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Road tamu ambayo haina wenge ni kuanzia pale Boko kwa mlachumvi hadi kerege no bums wala foleni, iwe ni siku ya jumapili udamke saa 12 wee utafurahi na roho yako
Basi jumapili tukatane hapo kwa mlachumvi mitaa ya saa 12 tufanya mazoezi madogo tu ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Akawa anawakokotoa wakina gigy ndani...falaa sana
Gari za ulaya ndani zina kauzuri kake, ukiingiza hawa watoto wa uswazi zina mlegeza.. kama nidhamu zero basi unaanza mambo ya msando ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€.. mwisho wa siku mzinga puuu
 
Mie hata kujua ninapo ishi ni kipengele mkuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].. hao majambazi wata fail tu.. hii chuma lazima nipaki ndani ya miaka mitano.. na siku ikifanikiwa kama tupo wazima wote lazima niwape wadau wai test kwanza [emoji3][emoji3][emoji3]
Usinisahau mkuu...mi napenda kutoa nuksi kwenye mandinga ya maana[emoji1787][emoji1787]

Ila nina kabahati mweeh wenye nazo hawanibanii[emoji848]
 
Gari za ulaya ndani zina kauzuri kake, ukiingiza hawa watoto wa uswazi zina mlegeza.. kama nidhamu zero basi unaanza mambo ya msando [emoji3][emoji3][emoji3].. mwisho wa siku mzinga puuu
Haaahaa haaahaa...kifo cha kuzini tena ndani ya gari[emoji16][emoji16][emoji16]

Straight jehanam bin moto
 
Back
Top Bottom