Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Hii naonga mzee baba, makakti wangu unajua mzee kuvuta chuma matata sana E350 AMG mwakani Audi A7 Sportback au BMW M series hasa M5.. Hiyo mwakani lakini but kwa mwaka huu E350 AMG lazima iingie magetoni mitaa ya chalinze pale kati kati 😀😀
Lkn hiyo haina hata miezi mitatu ....daah nakubali utelezi si jambo dogo
 
Hiyo Majesta ya wapi ? Huenda pia wana kukaushia hasa kama mwenye majesta.. majesta wengi wapo smart hawataki mashindano na mtu.. kina brevis na Sienta hao wachape.. huenda unakutana na sedan zimekata lingi mkuu [emoji3][emoji3][emoji3].
Majesta hahitaji ku prove chochote, hana haja ya ligi. Anatulia tu in luxury V8 linampeleka.
 
Mie siwezi mkuu.. nikupe RRONDO au ISO M.CodD ndio ma master wetu, sie wanafunzi huenda tukachafua heshima ya jukwaa na heshima ya madereva kwa ujumla kwa kubuluzwa na mdada [emoji3][emoji3][emoji3]
Nishindane na jiko la mzungu la 4.5L? Mkuu sina historia ya kudhalilika mpaka sasa maana nachagua wa kubattle nao. Hili battle sio la kwangu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom