Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna X4 kumbe sijawahi iona
Kuota kuna ruhusiwa mkuu 😀😀😀Hapo ni kina kirefu hapaingiliki kirahisi labda uwe fisadi papa[emoji23]
😀😀 na turbo juu kaweka maana walikuwa wame kajaza ma plastic kama yoteWa IST huenda alikuwa na 1800cc huyo
Jipange tu ununue. Ukae nalo hata mwaka mzima then uuze. Hapo utakua masterNatamani sana nijue mkuu ila sasa sio kwenye eicher lile 😅😅😅
Pale mjapani alicheza. Kwanza ziko strong na pia zina nguvu alafu njiani zinatembea balaa. Yani uhakika wa safari upoHahahah hilux iwe yenye turbo ile kale kamluzi kake 😅😅😅
[emoji23][emoji23]Sio kwa foleni yetu ya Mbagala utatoka kigimbi mguu wa kushoto tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan nilikuwa naona walewale wakina [emoji146] na same like[emoji848]Majesta unaichukulia poa eeh? Yani anachoboa Toyota ni kuweka 180 kama ukomo ila Majesta ilitakiwa iende 280km/h full speed!
Ndo nashangaa na mimi[emoji848]Kuna X4 kumbe sijawahi iona
Hebu tupia kapicha tuone mkuu[emoji848]Ipo Mkuu. Imekaa kibabe sana kuliko x5 aisee
Lkn hiyo haina hata miezi mitatu ....daah nakubali utelezi si jambo dogoHii naonga mzee baba, makakti wangu unajua mzee kuvuta chuma matata sana E350 AMG mwakani Audi A7 Sportback au BMW M series hasa M5.. Hiyo mwakani lakini but kwa mwaka huu E350 AMG lazima iingie magetoni mitaa ya chalinze pale kati kati 😀😀
Majesta hahitaji ku prove chochote, hana haja ya ligi. Anatulia tu in luxury V8 linampeleka.Hiyo Majesta ya wapi ? Huenda pia wana kukaushia hasa kama mwenye majesta.. majesta wengi wapo smart hawataki mashindano na mtu.. kina brevis na Sienta hao wachape.. huenda unakutana na sedan zimekata lingi mkuu [emoji3][emoji3][emoji3].
Mbona zipo na zinaendeshwaasa.posche huku.tz.unaendeshea wp
Jesu! Huo moto siupatii picha.4500 CC
Hiyo engine weka mbali na kids
Ukiunlock kwa remote na usifungue mlango wowote gari inajilock ndani ya sekunde chache sana.Muda mwingine umeweka funguo mfukoni Mara ktk ukaaji uibonyeze remote bila wewe mwenyewe kujua milango iko wazi tayari hapo.
Unakuta manyoya tu.
Nishindane na jiko la mzungu la 4.5L? Mkuu sina historia ya kudhalilika mpaka sasa maana nachagua wa kubattle nao. Hili battle sio la kwangu [emoji23][emoji23][emoji23]Mie siwezi mkuu.. nikupe RRONDO au ISO M.CodD ndio ma master wetu, sie wanafunzi huenda tukachafua heshima ya jukwaa na heshima ya madereva kwa ujumla kwa kubuluzwa na mdada [emoji3][emoji3][emoji3]
Yes hii ni kweli labda mtu awepo kwenye gari lako on spot...na hawezi kuingia coz atajua umwenye gari anakujaUkiunlock kwa remote na usifungue mlango wowote gari inajilock ndani ya sekunde chache sana.