Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

😀😀😀😀. Huenda anawashinda wasio shindana .. kuna ile mtu upo na mbio zako unawapita watu wanakutazama tu, wala hawana issue
Hahahahah yeah unaweza kuamua ku weave tu barabarani 😅😅😅 ila ile njia sababu ya mataa watu wanakazaga miguu kaka hatari!

Kipande ya Kuanzia mataa ya Jangid Plaza huwa watu wanafungua balaa mpaka mataa ya Palm beach pale hasa ikiwa hamna traffic patamu sana. One day nilikutana na li M5 mule aisee sio poa!
 
Aaah wapi ...sisi tunaamua kuwakaushia tu, mjidai msijione wanyonge

Matraffic wawanyanyase na sisi tuwanyanyase? Hell no....tunawaacha mvimbe barabarani

Ila mkituchosha na misifa yenu, ndo hivo tunafungulia turbo tunawaachia manyoya tu
😀😀😀😀😀😀 huwa tunawachapa hadi wanakuja kutupa mikono ya heshima mkuu.. ngoja kesho nikae lugalo nikuone au kama nikae kabisa tank bovu nikufate kwa nyuma nyuma ili nione unachosema kweli au unatania tu 😀😀
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] huwa tunawachapa hadi wanakuja kutupa mikono ya heshima mkuu.. ngoja kesho nikae lugalo nikuone au kama nikae kabisa tank bovu nikufate kwa nyuma nyuma ili nione unachosema kweli au unatania tu [emoji3][emoji3]
Kuandikia mate ya nini...nataka nikudhalilishe wewe wewe uje utoe ushuhuda humu na usifiche ukweli..let's game show up

Uko tayari?
 
Kuandikia mate ya nini...nataka nikudhalilishe wewe wewe uje utoe ushuhuda humu na usifiche ukweli..let's game show up

Uko tayari?
Mi ntakuwa navigator wa Holly Man 😅😅😅 nagawa Marks! Nataka nione kichapo kitakatifu ili tuone nani atampa mwenzie mkono wa pongezi!
 
Mi ntakuwa navigator wa Holly Man [emoji28][emoji28][emoji28] nagawa Marks! Nataka nione kichapo kitakatifu [emoji23][emoji23][emoji23]
Asee mwamba ajipange...aint joking at all

Mi Kuna watu hadi wanachunguliaga kwenye vioo at least wajue anayedrive ni nani, unfortunately ndio hivo hawaoni coz ni giza sio la nchi hii...huwa hadi naogopa wasijue anayeendesha ni mwenye jinsia ya Ke huwa naona aibuu

Hiyo barabara hadi wamenikariri[emoji848]
 
😂😂😂😂 Call out....kuna mtu alijichanganya kwa 2GR na VX yake hakuamini!
Hata mie mnyonge, nakarisha VX kibao ya mwisho nilimchapa hakuanini alicho kiona, nilikuwa namtunzia heshima ya kucheza tu nyuma yake, ku prove kwamba hana ubavu. Akavimba, na mie nika place sport mode.. hakuniona tena amekuja nikuta sehemu nimepaki kigari nakula mahindi ya wanyamwezi matamu hadi kisogoni, nae akaja kupaki anakashangaa kagari anauliza uliza maswali 😀😀😀😀 alikuwa anahisi ni ka IST kaliko changamka
 
Hahahahah yeah unaweza kuamua ku weave tu barabarani 😅😅😅 ila ile njia sababu ya mataa watu wanakazaga miguu kaka hatari!

Kipande ya Kuanzia mataa ya Jangid Plaza huwa watu wanafungua balaa mpaka mataa ya Palm beach pale hasa ikiwa hamna traffic patamu sana. One day nilikutana na li M5 mule aisee sio poa!
Siku hizi kwakua nipo tu Dar kuna mida najisikia kusikia ka sound ka kibabe .. huwa nachezea mitaa flani.. natia sport nakafinya ila sishindani na mtu, huwa ni mwenyewe ile nafurahi tu 😀😀 na mziki wangu mkubwa kama nimekula dawa
 
Hata mie mnyonge, nakarisha VX kibao ya mwisho nilimchapa hakuanini alicho kiona, nilikuwa namtunzia heshima ya kucheza tu nyuma yake, ku prove kwamba hana ubavu. Akavimba, na mie nika place sport mode.. hakuniona tena amekuja nikuta sehemu nimepaki kigari nakula mahindi ya wanyamwezi matamu hadi kisogoni, nae akaja kupaki anakashangaa kagari anauliza uliza maswali [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] alikuwa anahisi ni ka IST kaliko changamka
Sasa mkuu we kijana unashindana na VX..

Mostly like wanaoendesha hayo magari ni watu wa makamo au wazee kabisa, macho yao hayaoni na nguvu/ misuli ya mikono kukamata sterling imelegea...sasa hao watashindana na sisi kweli?[emoji848]

Au mwingine sio expert barabarani full wenge..

In briefly unakutana na wachovu tu
 
Siku hizi kwakua nipo tu Dar kuna mida najisikia kusikia ka sound ka kibabe .. huwa nachezea mitaa flani.. natia sport nakafinya ila sishindani na mtu, huwa ni mwenyewe ile nafurahi tu [emoji3][emoji3] na mziki wangu mkubwa kama nimekula dawa
Mziki mkubwa ukiwa unadrive ni hatari sana, Kuna ishu ilinikuta (sitahadithia humu) nilijuta

Nimekoma
 
Back
Top Bottom