Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Inakuwa kama hivi ๐๐๐.. nilikuwa zaidi ya 220kmhMfano tairi limebust we uko kwenye mziki mnene utaonaje kwenye dashboard?[emoji134]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inakuwa kama hivi ๐๐๐.. nilikuwa zaidi ya 220kmhMfano tairi limebust we uko kwenye mziki mnene utaonaje kwenye dashboard?[emoji134]
Atakuja kutuwakilisha , tunakuachie yeye master wetu .. tusije leta aibu kwa dereva wengine ๐๐Vip mkuu mbona umeshangaa?
Ha ha ha huyo ameshangaa vingine trust me[emoji1787][emoji1787]Atakuja kutuwakilisha , tunakuachie yeye master wetu .. tusije leta aibu kwa dereva wengine [emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mie siwezi mkuu.. nikupe RRONDO au ISO M.CodD ndio ma master wetu, sie wanafunzi huenda tukachafua heshima ya jukwaa na heshima ya madereva kwa ujumla kwa kubuluzwa na mdada [emoji3][emoji3][emoji3]
Una vi Y62 V8, unataka shindana na ist iliyo changamka, lazima ashangae ๐๐๐Ha ha ha huyo ameshangaa vingine trust me[emoji1787][emoji1787]
Lodge yenye miguu minne ๐๐๐Heheheheh Lodge inayotembea
Muhimu, lazima mtu apasuliwe bila ganzi ๐๐Akikubali tunaruka nae ๐ ๐ ๐
Nimestaafu mkuu....ila nakuaminia hutatuangusha!Mie siwezi mkuu.. nikupe RRONDO au ISO M.CodD ndio ma master wetu, sie wanafunzi huenda tukachafua heshima ya jukwaa na heshima ya madereva kwa ujumla kwa kubuluzwa na mdada ๐๐๐
๐๐๐๐๐, muhimu aweke wazi siraha yake kwanzaNimestaafu mkuu....ila nakuaminia hutatuangusha!
Nunda bila uwezo utapasua engine. Mtu anakukalia kulia Mita 100 nyuma hata ukukuruke vipi anapita.Aaah wapi...hamjakutana na manunda nyie[emoji16]
Kuanzisha ugomvi bila kujua nguvu ya adui ni suicidal๐๐๐๐๐, muhimu aweke wazi siraha yake kwanza
Ya hali ya juu, na unakuwa ume fail kimedani.. unaeza kwenda na siraha kubwa sana au siraha ndogo sana ๐๐... ukajipatia aibu safiiKuanzisha ugomvi bila kujua nguvu ya adui ni suicidal
Vitu kama hivi nime vi miss sana, ila acha tutulie kwanza kwa nyakati hizi ๐Nunda bila uwezo utapasua engine. Mtu anakukalia kulia Mita 100 nyuma hata ukukuruke vipi anapita.
Ha ha haAkikubali tunaruka nae [emoji28][emoji28][emoji28]
Ha ha ha uwii mbavu zanguVitu kama hivi nime vi miss sana, ila acha tutulie kwanza kwa nyakati hizi [emoji846]
Ila ligi na wewe nimepata kibali cha wakuu zangu, kesho alfajiri na mepama nitakusubiri tangi bovu, tuzichape hadi pale mwenge tu.. inakuwa inatosha ๐๐๐Ha ha ha uwii mbavu zangu