Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanapata chakula kwa hiyo show ๐๐Utoto huu
Jamaa anajiona masta sana aisee wanafanyaga usiku haya leo kaona afanye mchana kweupeHahah Ila Kuna watu ni wehu Sana,hizi drift za katikati ya barabara huyu ni wa kunyanganya leseni,kifungo na Gari iwe impounded.
Ila Yuko vzr.
Hio usiguse moto wake mzee๐ ๐ ๐ utakimbiza usijue ilipopotelea hio gari! Hio ya madogo wa chugga waleKwa nje unaweza hisi normal, kumbw ndani wamefanya vitu ๐๐View attachment 1845139
Na Mimi nimeshangaa Sana mzee baba,yaani mchana kweupe kabisa jamaa kaona ni fresh kabisa.Jamaa anajiona masta sana aisee wanafanyaga usiku haya leo kaona afanye mchana kweupe
Jason atawaua machalii aisee.Hio usiguse moto wake mzee๐ ๐ ๐ utakimbiza usijue ilipopotelea hio gari! Hio ya madogo wa chugga wale
Mungu wangu ni manini hayo kwenye boneti[emoji134][emoji134][emoji39][emoji16][emoji14]Kwa nje unaweza hisi normal, kumbw ndani wamefanya vitu [emoji3][emoji3]View attachment 1845139
Wa IST huenda alikuwa na 1800cc huyo๐๐๐ hii unanikumbusha majuzi, nilikuta kuna Crown, Brevis na IST zichuana hatari, mie nikawa nawafukuza kimya kimya nilikuwa na enjoy kuona ligi yao sikuruhusu waniache, nikawa najiuliza ile IST ina nini , kalikuwa na nguvu ya jabu sana, badae na mie nikaungaaa, kama kawa nikaweka sport mode, chap nimewakata, nikahakikisha hawanioni na siwaoni ndio nikarudi kwenye mwendo wa kawaida yule mwenye Brevi tokea pale akawaacha wenzake nae akawa nyuma yangu hakuta nipita tena, hadi nimefika kwenye point yangu ta mwisho ndio akaendelea zake nae ... hakuamini nilivyo chana wimbi naona
Sasa kwani mkuu ni bei gani?...zinarange humo 16-17m..Majesta ya mil 16 inapatikania wapi mkuu?
Hahah Mixer bonge la cold air intakeJ-Spec ๐ ๐ ๐ jamaa anainstall ma turbo tu ile kikichaa
Hizo wakati Niko teenager sasa hivi siwezi.
Hizo Athlete na Royal. Majesta ni Baba Lao familia ya Crown.Sasa kwani mkuu ni bei gani?...zinarange humo 16-17m..
Au unasema toleo la jana?[emoji848]