Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Ona mzigo kama huu,Kitu pekee napenda hio gari ni ule mluzi wake wa turbo diesel engine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona mzigo kama huu,Kitu pekee napenda hio gari ni ule mluzi wake wa turbo diesel engine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi sitaki makuuMmh...kweli kila mtu na chaguo lake[emoji848]
Hii Prado kali....ila brand yake ndo inaharibu stimuOna mzigo kama huu, View attachment 1845189
That great mkuu...na ndoto yako ikatim
Dereva ambae hajui kuendesha Manual transmission cars naona kama anakosa uhondo. Manual ina utamu wake.Wengi waliojifunza magari miaka ya 2010s hawajui kuendesha manual transmission.
Sio kwa foleni yetu ya Mbagala utatoka kigimbi mguu wa kushoto tu 😂😂😂Dereva ambae hajui kuendesha Manual transmission cars naona kama anakosa uhondo. Manual ina utamu wake.
Kwa mjini Sawa ila ukipata safari ndefu alafu upate LC ama Hilux D4D utatamani usifike. Ni mwendo wa kuvunja miwa tuSio kwa foleni yetu ya Mbagala utatoka kigimbi mguu wa kushoto tu 😂😂😂
Majesta unaichukulia poa eeh? Yani anachoboa Toyota ni kuweka 180 kama ukomo ila Majesta ilitakiwa iende 280km/h full speed!Duuh CIF inarange kwenye $ 4700 =Tsh 10.9m
Weka TRA na makorokocho ya bandarini 11.5m
Duuh ina bei eeh??
Ntaanza kuwapigia salute kumbe [emoji848][emoji848]
Linafunguka sana aisee kwenye Mweka Drags ndio niliona balaa lake! Hamna cha Subaru wala sijui takataka gani! Mashine inakalisha, Jason Frisby akianza kuipa vidonge ni kama Robot gia zinapishana kama maji![emoji16][emoji16]litanifyatukia sio
My love for Germany is in Touareg, Audi Q5 ama BMW x1
Inabidi ukae humo pale ukijisaidia mwenyewe mbona hamna shida pale mkufunzi anakwambia help yourself before I help youHahahah naskia NIT unapewa li eicher lile kila nikiwaza nahairisha tu