witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Ha ha haNishindane na jiko la mzungu la 4.5L? Mkuu sina historia ya kudhalilika mpaka sasa maana nachagua wa kubattle nao. Hili battle sio la kwangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haNishindane na jiko la mzungu la 4.5L? Mkuu sina historia ya kudhalilika mpaka sasa maana nachagua wa kubattle nao. Hili battle sio la kwangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Yes by the time anashtuka huenda hauji, gari ishajilock.Yes hii ni kweli labda mtu awepo kwenye gari lako on spot...na hawezi kuingiavl coz atajua umwenye gari anakuja
Hujakaa bar zilizojaza watu parking zimejaa hatari,wahuni wapo karibu na magari Muda wote.Yes hii ni kweli labda mtu awepo kwenye gari lako on spot...na hawezi kuingiavl coz atajua umwenye gari anakuja
Yaani hio ifanye opposite, by the time mwenye Gari akishtuka tayari ameshafurahishwa.Yes by the time anashtuka huenda hauji, gari ishajilock.
Mmmh hilo ni balaa sasaHujakaa bar zilizojaza watu parking zimejaa hatari,wahuni wapo karibu na magari Muda wote.
Sekunde 3 tu utajua hujui.
Labda uvute zile versions za America or Europe ndo zinakwenda zaidi ya 180Majesta unaichukulia poa eeh? Yani anachoboa Toyota ni kuweka 180 kama ukomo ila Majesta ilitakiwa iende 280km/h full speed!
Kama kulikuwa na mabadiliko ya ratiba mngetutangazia😀😀😀nimekaa hapa mbuyuni toka alfajir wakati gari zinawasha headlights mpaka muda huu sijaona ile starlet wala gari yako kwenye dragrace mliyotuahidi🤣🤣🤣Mmmh hilo ni balaa sasa
HaahaahaahaaKama kulikuwa na mabadiliko ya ratiba mngetutangazia[emoji3][emoji3][emoji3]nimekaa hapa mbuyuni toka alfajir wakati gari zinawasha headlights mpaka muda huu sijaona ile starlet wala gari yako kwenye dragrace mliyotuahidi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this whip!
View attachment 1841907View attachment 1841908View attachment 1841909
Ukiniambia ni gari gani naiwaza na kuiota kuja kuimiliki basi this is it. Its a dream hasa ile V6! Wenye uzoefu na hii gari karibuni mnipe mchanganuo wa wasifu wake zaidi sababu muda ukifika sitajiuliza mara 2!
Ni wapuuzi kidogo? Nilishawahi kushuka kabla hatujafika tunakoenda.Team tezza wapuuz
Hahahahah huo ujinga wa kuzungusha gari siku itakuja kumkataa mtu ije kuwa simanzi 😅😅😅!Ni wapuuzi kidogo? Nilishawahi kushuka kabla hatujafika tunakoenda.
Nikamwambia bro siku ukibasti nauambia ukoo hata wasilie maana umepata ulichokuwa unatafuta kwa jitihada zako
Bei yake mkuu wangu ni kama 165M before TRA kwa 0km ya mwaka huu! Ila zile kuukuu za beforward bei inaweza kuwa chini kidogo ukiwa na 70M na TRA ndani unapata latest kidogo yani ya miaka ya karibuni!
Ndani imenyookaIpo siku nitakuwa humu ndani ya mkorea.
View attachment 1845573View attachment 1845574View attachment 1845575
RRONDO nae amekataa.. huenda mshindani ana siraha ya maangamizi.. japo leo nilijitolea kumsikilia , ila naona kala konaNishindane na jiko la mzungu la 4.5L? Mkuu sina historia ya kudhalilika mpaka sasa maana nachagua wa kubattle nao. Hili battle sio la kwangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hatari sana , Kia Sorento hiyo.Ndani imenyooka
C.C ExtrovertLkn hiyo haina hata miezi mitatu ....daah nakubali utelezi si jambo dogo