VPL 8 Aprili 2015: Yanga Afrika vs Coastal Union

VPL 8 Aprili 2015: Yanga Afrika vs Coastal Union

Ngoja walau nigonge bia ya Uganda......maana leo za Tanzania hapa nilipo zimenywewa zote kisa Yanga 8...
 

Attachments

  • 1428512793278.jpg
    1428512793278.jpg
    53.2 KB · Views: 294
mbega ni aina ya mnyama jamii ya nyani hupatikana sana huko Unguja...wana manyoya mazuri

nashukuru mkuu kwa ufafanuzi, maana kwa goli hizi furaha inazidi hakuna haja ya kuumiza kichwa unauliza unapata jibu unaendelea kugonga povu. Hii ni castle larger ya 8.
 
Vipi leo huna 'chochote' kuhusu hii mechi?

Kwa kweli leo sina chochote maana sijasikiliza redion wala sijaangalia kwenye kideo, sana sana nilikuwa napata update ya matokeo tu hapa.
 
Kwa kweli leo sina chochote maana sijasikiliza redion wala sijaangalia kwenye kideo, sana sana nilikuwa napata update ya matokeo tu hapa.

Cha msingi Yanga imechukuwa point zote 3 na magori 8, hayo mengine utajiju mwenyewe.
 
Ndiyo nataka ani PM anipe namba yake nimtumie m-pesa au tigo pesa kama kumtaka radhi. Watu8 huko uliko nitumie namba yako please au kama vp twende wote uwanjani nitakulipia kiingilio na bia nitakununulia pale nje kabla ya kuingia uwanjani na baada ya kutoka pia

usisahau kumnunulia na hawa samaki mi ndio nakula niingie uwanjan
 

Attachments

  • 1428707038263.jpg
    1428707038263.jpg
    53.1 KB · Views: 185
Eti watu wa soka wanachoweza kucheza mechi mbili tu nazo za Yanga
 

Attachments

  • 1428537875570.jpg
    1428537875570.jpg
    54.5 KB · Views: 131

Attachments

  • mbega1.png
    mbega1.png
    32 KB · Views: 100
  • mbega2.png
    mbega2.png
    23.2 KB · Views: 99
  • mbega3.jpg
    mbega3.jpg
    9.8 KB · Views: 80
  • mbega4.jpg
    mbega4.jpg
    6.5 KB · Views: 179
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom