VPL 8 Aprili 2015: Yanga Afrika vs Coastal Union

VPL 8 Aprili 2015: Yanga Afrika vs Coastal Union

huyu TAMBWE atafukuzisha watu kazi kule mtaa wa pili.
 
As long as wanashiriki ligi kuu, lazima nishangilie... Real Madrid kuwafunga Granada goli 9 -0 mmeshangilia. Mimi kushangilia Yanga kuifunga Coastal Union tena ya Julio, imekuwa nongwa. Mwee makubwa hayo!!!!!!!!!!!

Kama coastal ndii kipimi sahihi cha waarabu endelea kushangilia mara ya mwisho
 
nimemskia Julio jana akilia sana kua amekurupushwa na hakujua kama kuna mechi jumatano. Kama ni kweli basi TFF mnaharibu soka la TZ

Muongo huyo Yanga na coast zilijua hii ratiba kabla ya yanga kwenda Zimbabwe,hata Mbeya city alipokuja Dar anajua weekend anapambana na Yanga
 
Kama coastal ndii kipimi sahihi cha waarabu endelea kushangilia mara ya mwisho
Goli 8 zimekuchanganya mpaka kuandika kunakupa taabu, ni "kipimi" au kipimo?!
 
Back
Top Bottom