VPL leo tar. 21/04/2015: Yanga vs Stand United

hawa yanga sifa sana, yaaani wakiamua tu wanafunga wanavyotaka, mpaka waamue yaaani!
 
Stand wamekamia sana...wakati huo huo wanafanya sana makosa
 

UlivyomaliIa ndicho ulichokusudia kukiandika...mengine yote ni mbwembwe tu...half time YANGA 2 Stand united 1
 
Tulia hapohapo,magoli mengine yanakuja.

Sawa kushinda mtashinda.. Ila inakuaje mchezaji wenu ancheza akiwa uchi? Hamna jezi za akiba? Au inshu ya kuwa Yanga kuna Kansa inaitwa "ukata" inawatafuna taratibu, tuanze kuamini?
 
Kwani kila kitu lazima ufanye comparison ya Simba na Yanga?

Reading between the lines uliyoandika ndio maana yake hiyo. Azam ni issue nyingine na hatuwezi kuwa judge labda baada ya miaka mingine mitano hivi. Kwenye financial fair play bado wapo kama Yanga na Simba tu. Hela ni ya tajiri sio ya club kama commercial entity.
 
Yaani niko ukumbini hapa Kashai........Kata yenye wakazi wengi bukoba Manispaaa ambako uchaguzi wa serikalimza mitaa hakuna hata mjumbe mmoja kutoka ccm alipata chansi yaani mzuka umewapanda washabiki yaani ni burudani tupuuu. Shabiki mmoja wa Simba kesha maindiwa na mashabiki wa yanga.....wako wanachanga kiingilio atolewe nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…