VPL leo tar. 21/04/2015: Yanga vs Stand United


Mbona Real Madrid wanachagua kiongozi kwa kura? Na wako stable?
 
Tukishinda hii game...point 7 mbele ya wana lamba lamba AZAM

Sasa hivi Mkuu hatuangalii tena tofauti ya pointi kati yetu na Azam, tunachoangalia sasa ni pointi ngapi kufikia ubingwa. Kama tukushinda tutabakiza pointi 6 tu ambazo ziko kwa Polisi Moro na Ruvu Shooting.
 
Kwa kweli stand united wanacheza vizuri sana,wanaonekana wamepania,walichobugi ni kutufunha dakika za mapema so wamewaonhezea yanga umakini
 
Kwa nini yanga isiondolewe kwenye haya mashindano ili iendelee na mambo mengine!!?
 

Bado ni mapema kuwa judge Azam. Kama mfumo wao utafanikiwa ikafika mahali timu ikajiendesha bila hela ya tajiri, basi hata Yanga na Simba zitalazimika kufuata mfumo huo. TP Mazembe sioni kama inatofauti sana na timu zetu za Yanga na Simba. Nafuu yao ni kwamba tajiri ana commitment kubwa zaidi lakini siku akiondoka inakufa wakati huo huo. Ndio tofauti yake na Azam.
 
Hahahaah,,,,halafu mtata mtata sijui wa wapi huyu, au namanyele?

mie siyo mtata mkuu na wala sijawahi kupewa ban na hatatokea nikapewa ban maana naheshimu sheria zote za jamiiforum.
 
Last edited by a moderator:
Mlioko uwanjani vp simba leo hawajakuja kushangilia standi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…