VPL leo tar. 21/04/2015: Yanga vs Stand United

VPL leo tar. 21/04/2015: Yanga vs Stand United

Sawa kushinda mtashinda.. Ila inakuaje mchezaji wenu ancheza akiwa uchi? Hamna jezi za akiba? Au inshu ya kuwa Yanga kuna Kansa inaitwa "ukata" inawatafuna taratibu, tuanze kuamini?

Huo mchaniko ndiyo mtambo wa magoli! Ha ha haaaa! just a joke.
 
Yaani niko ukumbini hapa Kashai........Kata yenye wakazi wengi bukoba Manispaaa ambako uchaguzi wa serikalimza mitaa hakuna hata mjumbe mmoja kutoka ccm alipata chansi yaani mzuka umewapanda washabiki yaani ni burudani tupuuu. Shabiki mmoja wa Simba kesha maindiwa na mashabiki wa yanga.....wako wanachanga kiingilio atolewe nje.

Nilisahau kuwawekea picha ya ukumbi unaitwa Wembley Stadium.
 

Attachments

  • 1429624794498.jpg
    1429624794498.jpg
    75.4 KB · Views: 206
Hahahaaah,,,,,,,,dada Bantu lady hiyo ID achana nayo, bahati nzuri tunaijua watatu tu, mimi, wewe na yeye.

Hahahahaaaaaaaaaa wachenjela papo mkombe.....hahahahah......awe wa ufiii......mie namshauri aedit......iwe Lufono Kapwila Matulu
 
Last edited by a moderator:
Reading between the lines uliyoandika ndio maana yake hiyo. Azam ni issue nyingine na hatuwezi kuwa judge labda baada ya miaka mingine mitano hivi. Kwenye financial fair play bado wapo kama Yanga na Simba tu. Hela ni ya tajiri sio ya club kama commercial entity.
Wana unafuu kidogo, kwani their sponsorship is stable. Ni tofauti na vilabu vya wanachama, mfadhili anaangalia kuna kiongozi gani pale klabuni. ina maana kila baada ya miaka ya madarakani mawazo ya sponsorship yanaweza kubadilika kwa kuwa wanachama ndio wanaochagua viongozi, na wanaweza kumchagua kichaa yeyote. Kwa hiyo ufadhili hauwezi ukaenda beyond kipindi cha utawala wa kiongozi anayeendana na mawazo ya mfadhili, hence uwekezaji. Ni vigumu kuchomoka. I wish hivi vilabu vyenye washabiki wengi vingekuwa vinamilikiwa na tajiri mmoja mmoja, nafasi ya wapenzi na washabiki inabaki kuingia uwanjani kushangilia lakini hakuna cha uchaguzi wa viongozi wala kadi za uanachama
 
Hahahahaaaaaaaaaa wachenjela papo mkombe.....hahahahah......awe wa ufiii......mie namshauri aedit......iwe Lufono Kapwila Matulu

Ha ha ha haaah,,,,,, Ta Muganyizi nimeungaunga hapo usinicheke.
Akiibadili hivyo si ndio ataharibu zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom