Pure nomaa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 1,158
- 1,385
kumbe kuna tatizo kubwa sana klabuni
Alafu kitu kingine hasa ndala mnatakiwa mtambue kuwa ktk VPL ushindani umeongezeka. Hivi mnajua mmetuacha michezo mingapi? Uwezekano wa Simba kuwa bingwa upo kabisa maana bado hamjacheza na sisi, hiyo mechi ni six pointer, tukiwafunga mnalo, na mnajua simba hata ikiwaga "mbovu" lakini kwa yanga wembe ni ule ule.
kuna tetesi kadanja.naomba iwe uzushiKawaje??
Prisons msikate tamaa,mpira dk 90 mbona hao mikia wanafungika 2 mungu yu pamoja nanyi
Prisons msikate tamaa,mpira dk 90 mbona hao mikia wanafungika 2 mungu yu pamoja nanyi
Na mwisho wa ligi hakuna pointi ambazo zinakuwa classified kwamba ni za ushindi wa kubahatisha.
sasa ishu ya kuingia msituni itakuwaje?kuna tetesi kadanja.naomba iwe uzushi
kaushasasa ishu ya kuingia msituni itakuwaje?
sasa ishu ya kuingia msituni itakuwaje?
sasa ishu ya kuingia msituni itakuwaje?
kausha
Hakuna uwezekano huo mkuu...Tuache kujifariji pasipo na sababu
Baada ya mchezo wa leo tutawazidi yanga game moja
Tutakuwa na point 23
Yanga wana point 31 na game moja mkononi
Assume yanga wanashinda hiyo game ya mkononi watakuwa na point 34 ...
Tofauti ya Point 11
Manake ni kwamba yanga wapoteze mihezo minne kwa kufungwa,
Thats totally impossible
Tuache kujifariji...Tushughulike na matatizo ya timu yetu
Pamoja na haya matokeo, bado uongozi unatakiwa ukae chini na kutafuta njia ya kufuta tofauti za wanachama.
Alafu nilikuwa naangalia sports bar jana, kuna mtangazaji alisema kuwa ni tetesi tu, hakuwa na uhakika ila alipenyezewa kuwa simba iliwasili jana asubuhi toka shinyanga, sasa kama hizi ni habari za kweli, uongozi una matatizo zaidi ya wanasimba tujuavyo.
hahahaah,,,,,,,,acheni jamani.Ndo kaishaingia hivyo
Mkuu hiyo sport bar ni ya kituo gani cha TV, maana kama ni clouds huwa kinarushwa jtatu saa nne usiku na kurudiwa jnne saa kumi jioni sasa wewe cha jana ulikitoa wapi na je ilikuwa ni live au recorded?