VPL: Simba v Prisons 28-02-2015

VPL: Simba v Prisons 28-02-2015

Kheir yako wewe umekata tamaa mapemda manake baadae mkifungwa hautaumia sana kuliko wale wenye matumaini ya kushinda na wajelajela wakianza kuwatembezea mkong'oto wataumia sana.
Kila la kheir Tz Prisons.

Kwa kuwa huu uzi haukuhusu wewe wala hukualikwa ngoja mvua ikunyeshee.
Bao 5 hizo ni salamu kwa mke wangu mpenzi, nikimkumbushia penzi langu la dhati kwake.

Toka amenikimbia mwaka 2012 sijapata mwanamke aliyehimili mapigo yangu, japokuwa huyu wa leo ametaka kunirubuni kwa kunipa staili zote mpaka haramu bado simtaki kwanza amekomaa, ana vigimbi kwa kupanda milima tofauti na wewe ngozi yako laini, mtoto kila mtu anakupenda hata jana nilisikia kuna buzi lilikupeleka Botswana na kukupiga viwili mimi sijali. Rudi tuje tuyajenge maisha baby. Achana na hao wanaokupiga viwili mimi unanijua nimeshindwa kabisa nakupiga vitatu.
 

Attachments

  • 1425138967151.jpg
    1425138967151.jpg
    17.2 KB · Views: 236
Ushindi kwa Prisons leo, tunataka wavurugane hasa. Kuna wanaohama timu, waliochanganyikiwa wiki nzima, waliokuwa wakali kwa wiki hii.
prisons tupeni raha, piga mikia aka paka, Simba alishakuwa paka.
Jangwani full furaha, Ngassa tunakupenda wewe acha tu.

Tumesikia mmepata bwana mjeshi Botswana, hongereni. Bao 5 zinawakumbusha nini?
 
Inasemekana simba imemchezesha ibrahim hajib kimakosa kwamba ana kadi 5 za njano......sitanii

Nimeiona taarifa hii katika blog ya Salehe Jembe, endapo ni ya kweli, viongozi wa Simba watakuwa kwenye wakati mgumu endapo timu itapokonywa pointi 3, kupoteza magoli 5 na kufungwa magoli 2.

Nashauri TFF wapotezee tu hata kama Ajibu alikuwa na kadi 3 za njano.

CC. Jamal Malinzi: Kindly condone the same.
 
Last edited by a moderator:
Kwa kuwa huu uzi haukuhusu wewe wala hukualikwa ngoja mvua ikunyeshee.
Bao 5 hizo ni salamu kwa mke wangu mpenzi, nikimkumbushia penzi langu la dhati kwake.

Toka amenikimbia mwaka 2012 sijapata mwanamke aliyehimili mapigo yangu, japokuwa huyu wa leo ametaka kunirubuni kwa kunipa staili zote mpaka haramu bado simtaki kwanza amekomaa, ana vigimbi kwa kupanda milima tofauti na wewe ngozi yako laini, mtoto kila mtu anakupenda hata jana nilisikia kuna buzi lilikupeleka Botswana na kukupiga viwili mimi sijali. Rudi tuje tuyajenge maisha baby. Achana na hao wanaokupiga viwili mimi unanijua nimeshindwa kabisa nakupiga vitatu.

hahahahaaaa
 
Sasa hapa tunaongelea teamwork....haiwezekani ikawepo....Teamwork ni kila kitu

Mkuu pale simba kuna matatizo makubwa sana mkuu

Wachezaji kadhaa hawajalipwa mishahara ya miezi zaidi ya miwili

Alafu unataka washinde....wataanzaje mkuu? Tunatakiwa tuwe fair masuke

Mkuu umenena, Simba sio mbovu ni migogoro tu ya ndani inasumbua. Hali kama hii ingeipata yanga ingekuwa imeshashuka daraja lakini kwa Simba imehimili sasa miaka 3.
Simba ikiamua kuacha migogoro hakuna timu itakatiza mbele yake yanga inajua hilo ndiyo waulize wanapofungwa 3,2 bila Simba huwa inaingia uwanjani ikiwa imefungwa nje ya uwanja, vijiweni na media lakini sio dimbani.
 
Masuke tunawasubiria kwa hamu, nyie tulieni Ngassa amerudia enzi zake na Tambwe lazima awafunge.
Hapo bado wakina Msuva na Sherman mtakaa tu.

Maneno tumeyazoea, hata Okwi na Kaseja walipotua jangwani mlisema hivyohivyo na bado mkapokea kipigo cha 3.
 
Last edited by a moderator:
Kwa Anaye jua kituo cha radio kitakachorusha matangazo ya moja kwa moja mechi ya Azam na El merrekh..?
 
Nimeiona taarifa hii katika blog ya Salehe Jembe, endapo ni ya kweli, viongozi wa Simba watakuwa kwenye wakati mgumu endapo timu itapokonywa pointi 3, kupoteza magoli 5 na kufungwa magoli 2.

Nashauri TFF wapotezee tu hata kama Ajibu alikuwa na kadi 3 za njano.

CC. Jamal Malinzi: Kindly condone the same.

Kama ni kweli sheria na kanuni zichukue mkondo wake.
 
Masuke tunawasubiria kwa hamu, nyie tulieni Ngassa amerudia enzi zake na Tambwe lazima awafunge.
Hapo bado wakina Msuva na Sherman mtakaa tu.

Kula Yanga kulala Simba, kijana wetu anawabeba sana, lazima ndoto zake zitatimia tu siku moja! Kaeni chonjo!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom