OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
tarehe 8 tutakamua mtu 3.Naona ndio mmeanza ligi...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tarehe 8 tutakamua mtu 3.Naona ndio mmeanza ligi...!
wameshtushwa sana na mziki wa leo,wanasoma kipembeni wakitafakari kitakachowakuta
Kheir yako wewe umekata tamaa mapemda manake baadae mkifungwa hautaumia sana kuliko wale wenye matumaini ya kushinda na wajelajela wakianza kuwatembezea mkong'oto wataumia sana.
Kila la kheir Tz Prisons.
Ushindi kwa Prisons leo, tunataka wavurugane hasa. Kuna wanaohama timu, waliochanganyikiwa wiki nzima, waliokuwa wakali kwa wiki hii.
prisons tupeni raha, piga mikia aka paka, Simba alishakuwa paka.
Jangwani full furaha, Ngassa tunakupenda wewe acha tu.
Inasemekana simba imemchezesha ibrahim hajib kimakosa kwamba ana kadi 5 za njano......sitanii
Wakati kapten wetu anafariki simba inazinduka
Ft prisons 6-simba 3
Kwa kuwa huu uzi haukuhusu wewe wala hukualikwa ngoja mvua ikunyeshee.
Bao 5 hizo ni salamu kwa mke wangu mpenzi, nikimkumbushia penzi langu la dhati kwake.
Toka amenikimbia mwaka 2012 sijapata mwanamke aliyehimili mapigo yangu, japokuwa huyu wa leo ametaka kunirubuni kwa kunipa staili zote mpaka haramu bado simtaki kwanza amekomaa, ana vigimbi kwa kupanda milima tofauti na wewe ngozi yako laini, mtoto kila mtu anakupenda hata jana nilisikia kuna buzi lilikupeleka Botswana na kukupiga viwili mimi sijali. Rudi tuje tuyajenge maisha baby. Achana na hao wanaokupiga viwili mimi unanijua nimeshindwa kabisa nakupiga vitatu.
Sasa hapa tunaongelea teamwork....haiwezekani ikawepo....Teamwork ni kila kitu
Mkuu pale simba kuna matatizo makubwa sana mkuu
Wachezaji kadhaa hawajalipwa mishahara ya miezi zaidi ya miwili
Alafu unataka washinde....wataanzaje mkuu? Tunatakiwa tuwe fair masuke
Masuke tunawasubiria kwa hamu, nyie tulieni Ngassa amerudia enzi zake na Tambwe lazima awafunge.
Hapo bado wakina Msuva na Sherman mtakaa tu.
Masuke tunawasubiria kwa hamu, nyie tulieni Ngassa amerudia enzi zake na Tambwe lazima awafunge.
Hapo bado wakina Msuva na Sherman mtakaa tu.
Nimeiona taarifa hii katika blog ya Salehe Jembe, endapo ni ya kweli, viongozi wa Simba watakuwa kwenye wakati mgumu endapo timu itapokonywa pointi 3, kupoteza magoli 5 na kufungwa magoli 2.
Nashauri TFF wapotezee tu hata kama Ajibu alikuwa na kadi 3 za njano.
CC. Jamal Malinzi: Kindly condone the same.
Masuke tunawasubiria kwa hamu, nyie tulieni Ngassa amerudia enzi zake na Tambwe lazima awafunge.
Hapo bado wakina Msuva na Sherman mtakaa tu.
wameshtushwa sana na mziki wa leo,wanasoma kipembeni wakitafakari kitakachowakuta