VPL: Tar. 22\04\2015: Simba vs Mgambo JKT

VPL: Tar. 22\04\2015: Simba vs Mgambo JKT

Mkuu usijali, mavi ya kale hayanuki. Hata mimi niliingia katika mtego wa shetani wa kukuchukia wewe kwa lugha zako za kiasherati. Mimi nilishakusamehe toka zamani sana, nasikitika kuona wewe bado una kinyongo na mimi. Mpira ni mpira tu mkuu, usitufanye tukagombana na huku hatujuani hata kwa sura, ni hasara kubwa sana kwetu endapo tutakubali ujinga wa kugombana hapa jukwaani.

Hebu fikiria siku moja tukikutana nami nikajitambulisha kwako kuwa mimi ndiye Makoye Matale na wewe ukajitambulisha kuwa ndiwe grafani11, endapo tutakuwa na ugomvi hapa jukwaani hali itakuwaje? Lakini kama hatuna ugomvi, hali itakuwaje pia?
Michezo ni undugu, urafiki na afya bora.
 
Last edited by a moderator:
Hii ndiyo SSc ninayoijua. Wasingefanya mazoezi/wasingejiandaa kwa mechi kama Coastal wangekula bao 16-0
 
Simba bado hawajafunga la nane jamani au mechi imekeisha?
 
Wenzako Mkuu wako wapi, au wamejikatika tamaa? Yuko wapi Katavi, Masuke, Ngarna, sembo, grafani11 na wengine wachache.

Nipo sana ila tu ujenzi wa taifa ndo unanifany napotea potea si unajua hili Taifa unajenga leo kesho ukiamka unakuta baadhi ya sehemu limebomoka hivyo ujenzi wa hili Taifa haushi.

Mwaka huu kweli chama letu limepoteza mwelekeo, inabidi tutafute namna ya kubadilisha namna ya kucheza hii ligi, iwe inachezwa kwa mtoano.
 
naona kaushindi ka mikia kamekufufua kutoka katika 'wafu'

Unadhani mimi wa kufa kama nyinyi?
Au unadhani tunaishi mijini kwa kupiga kelele za kujisifia kupanda ndege karne ya 21 wakati bei ya kupanda ndege na kupanda basi havitofautiani sana. Hata Gwajima mmoja anawashinda kanunua ndege yake wakati wapumbavu wanajisifia kupanda ndege.
 
Mkuu usijali, mavi ya kale hayanuki. Hata mimi niliingia katika mtego wa shetani wa kukuchukia wewe kwa lugha zako za kiasherati. Mimi nilishakusamehe toka zamani sana, nasikitika kuona wewe bado una kinyongo na mimi. Mpira ni mpira tu mkuu, usitufanye tukagombana na huku hatujuani hata kwa sura, ni hasara kubwa sana kwetu endapo tutakubali ujinga wa kugombana hapa jukwaani.

Hebu fikiria siku moja tukikutana nami nikajitambulisha kwako kuwa mimi ndiye Makoye Matale na wewe ukajitambulisha kuwa ndiwe grafani11, endapo tutakuwa na ugomvi hapa jukwaani hali itakuwaje? Lakini kama hatuna ugomvi, hali itakuwaje pia?

Huo uasherati uliosema ni kweli ninakufanyia sasa mwaka wa 3 lakini hakuna zao lolote, bora nigeukie kwa Mgambo labda atanizalia.
 
Last edited by a moderator:
Huyu Okwi huyu... ndo maana Yanga wanamchukia sana. Okwi mmoja ni sawa na washambuliaji 3 wa Yanga. the man anacheza kwa kujituma sana yaan ni kama one army man.

ni kweli kabisa okwi ameisaidia simba isishuke daraja na anaongoza kwa magoli tofauti na fowadi za yanga akina msuva, Tambwe, na ngasa ambao timu yao ya yanga haina mwenendo mzuri.
 
Leo BBA kaonekana bado Ngarna, sijui bado yuko 'pulgatory'.

MKUU huwa naingia ila nashindwa kucomment sababu ya wachezaji wetu( Watanzania) kucheza kama wamelazimishwa na Vila determination yoyote wakati ajira ya ni muda mfupi . Hana vision wala mission
 
Last edited by a moderator:
sibonike hilo ukiwauliza akina Manji wanalijua wewe tu ndo unakataa hujui namna gan mpaka sasa manji anateseka sana kwa suala la okwi kurudi siba na halaf kuja kuwagonga bao moja lenye kutia uchungu sana pamoja na ulinzi mkubwa aliokuwa amewekewa. simba ni team nzuri tatizo ni siasa ndizo zinazoiangusha kwa sasa ni kama wanaamua leo washinde kesho wafungwe. ila kama wakiwekana sawa Yanga mtapata wakati mgumu sana ile enzi ya kupigwa tano ndo itarud ila kwa sasa yanga mnafurah coz mnafungwa moja 2,3 na sometime mnatoa draw.

nasikia sasa mmeanza mipango ya kuifunga yanga mwakani...endeleeni hivyo hivyo, wakati wenzenu tunaendelea kupokezana ubingwa.
 
hapa leo sijamsikia mwanasimba yeyote akisema .."SIMBA NI VIJANA WADOGO TUWAPE MUDA"nadhani wamekua..ila mechi ijayo kauli hii itaibuka tena.
 
Nikumbusheni: Hivi Mnyama akishinda mechi zake zote zilizosalia na Yebo Yebo akafungwa zote zilizosalia, nani atakuwa na points nyingi overall?
Kamuulize Aveva na Sunday Manara wao wanajua jibu la swali lako.
 
Nipo sana ila tu ujenzi wa taifa ndo unanifany napotea potea si unajua hili Taifa unajenga leo kesho ukiamka unakuta baadhi ya sehemu limebomoka hivyo ujenzi wa hili Taifa haushi.

Mwaka huu kweli chama letu limepoteza mwelekeo, inabidi tutafute namna ya kubadilisha namna ya kucheza hii ligi, iwe inachezwa kwa mtoano.

Hatukubali ligi ya mtoano, mikia mtatwaa ubingwa kila mwaka. Tunajua kwenye mtoano mko vizuri sana kuliko kupiga ligi yenye mechi nyingi kwa kuhesabu pointi, wachezaji wenu hawana 'Long time endurance'.
 
MKUU huwa naingia ila nashindwa kucomment sababu ya wachezaji wetu( Watanzania) kucheza kama wamelazimishwa na Vila determination yoyote wakati ajira ya ni muda mfupi . Hana vision wala mission

Pole sana Mkuu.
 
Nipo sana ila tu ujenzi wa taifa ndo unanifany napotea potea si unajua hili Taifa unajenga leo kesho ukiamka unakuta baadhi ya sehemu limebomoka hivyo ujenzi wa hili Taifa haushi.

Mwaka huu kweli chama letu limepoteza mwelekeo, inabidi tutafute namna ya kubadilisha namna ya kucheza hii ligi, iwe inachezwa kwa mtoano.

Hongera sana kwa ujenzi wa Taifa Mkuu.
 
Unadhani mimi wa kufa kama nyinyi?
Au unadhani tunaishi mijini kwa kupiga kelele za kujisifia kupanda ndege karne ya 21 wakati bei ya kupanda ndege na kupanda basi havitofautiani sana. Hata Gwajima mmoja anawashinda kanunua ndege yake wakati wapumbavu wanajisifia kupanda ndege.

Wewe siyo mwanamichezo.

CC. bujashi25: Achana naye.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana Mkuu.

Tupeane pole sote. Kimataifa tuko sana kisoka chukua mfano Siku Yanga anacheza BDF nliona wachezaji wawili tu Bartez na Niyonzima nilioona wanaweza kucheza hata Uarabuni . Msuva ambaye hapa ndo top scorervwa league yetu mechi hizi mbili za Kimya Taifa sijaona kitu chochote toka kwake. What do you expect, nani atamchukua MTU ambaye hashine internationally?
 
Back
Top Bottom