Upekuzi101
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 221
- 542
Nililielewa wazi kiongozi.otherwise aanze kubuni cheo kipya cha naibu Rais au naibu makamu wa Rais.[emoji23]
otherwise aanze kubuni cheo kipya cha naibu Rais au naibu makamu wa Rais.[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nililielewa wazi kiongozi.otherwise aanze kubuni cheo kipya cha naibu Rais au naibu makamu wa Rais.[emoji23]
otherwise aanze kubuni cheo kipya cha naibu Rais au naibu makamu wa Rais.[emoji23]
Hivi kunawezekana maccm wakakubali kutawala nusu mkate?otherwise aanze kubuni cheo kipya cha naibu Rais au naibu makamu wa Rais.[emoji23]
Kina Madelu wanamuingiza king mama yetuWanamuongopea vibaya sana
Wabongo wanafiki 🤣🤣🤣wao ni kula tu!!Wanamuongopea vibaya sana
Andazi unanywea chai,ccm unaifanyia nnWatu wanakuambia ukiweka ccm na andazi watu watachagua andazi kwa mana hiyo watu ata chauma akishindana na ccm kwa uchaguzi huru saa nne mzee wa ubwabwa yupo ikulu
Sio uchawa tatizo mna njaa na ampende kujishughulisha ata kupika maandazKwa ufupi Mama hata sisi chawa wake huwa hatumuelewi ila kwa sababh ya uchawa lazima tumuunge mkono tu maana katiba inampa mamlaka ya kuua bila kushitakiwa etc[emoji3064][emoji848][emoji2827]
CCm inafurahi kuwa na ombwe la chama kinachoweza kuchukua nafasi yake ; ndio maana wamekomaa hawataki tuwe na katiba mpya ambayo pamoja na mambo mengine itaruhusu private candidates kufidia hilo ombwe!CCM imechokwa tatizo hakuna chama mbadala