Vuguvugu la kurudisha kadi za CCM watatumbuliwa ma-DC wangapi?

Vuguvugu la kurudisha kadi za CCM watatumbuliwa ma-DC wangapi?

Wanaingia Kingi kwa kusimamia mikataba ya Kijinga kama ingekua na faida kwa Wananchi kwa nini wasingefanya kwa uwazi hiyo Bandari ingekua wanaweza kuuza Kimya kimya kama Twiga wangeuza tuu sasa Bandari ipo wazi ndio maana wameshindwa hao watu sio wazuri kabisa...
 
Wanaingia Kingi kwa kusimamia mikataba ya Kijinga kama ingekua na faida kwa Wananchi kwa nini wasingefanya kwa uwazi hiyo Bandari ingekua wanaweza kuuza Kimya kimya kama Twiga wangeuza tuu sasa Bandari ipo wazi ndio maana wameshindwa hao watu sio wazuri kabisa...
Mkabataba ulivuja usingevuja wala usingejua chochote
Gas madini mikataba ingevuja mngelia na kugalagala chini wengine mngeingia msitun kabsaa
 
Viongozi wazidishe upendo kwa wananchi na wafanye mambo yenye tija kwa wananchi..pia wananchi hasa Tabaka la chini wasikilizwe kero zao. Kadi hazitarudi...
Ndugu yangu viongozi kuwa na Upendo kwa wananchi maana yake wasikilize na juheshimu maamuzi ya wananchi ikiwa ni pamoja kuheshimu kura anayopiga mwananchi .Jambo hili viongozi wa CCM hawawezi kamwe .
 
Mkabataba ulivuja usingevuja wala usingejua chochote
Gas madini mikataba ingevuja mngelia na kugalagala chini wengine mngeingia msitun kabsaa
Upo sahihi Mkuu huwa sipingani na ukweli...
 
Vile chadema inaondoka na vijiji huko + kadi za ccm zinavorudishwa kila mahali, mama ana hatihati ya moto mkali kumuwakia 2025, otherwise aanze kubuni cheo kipya cha naibu Rais au naibu makamu wa Rais.
 
Vile chadema inaondoka na vijiji huko + kadi za ccm zinavorudishwa kila mahali, mama ana hatihati ya moto mkali kumuwakia 2025, otherwise aanze kubuni cheo kipya cha naibu Rais au naibu makamu wa Rais.
Aisee hii ni balaa!! Mbona Lucas mwashamba chawa kiongoz anasema watanzania wanazid kumuelewa Samia na CCM pia 2025 itakua ni kamserereko kwa CCM!!!
 
Uchaguzi huu ntapiga sana pesa aisee mana kama mama ananunua goli Moja tu kwa mamillion ya pesa ambalo Hilo goli alimsaidii chochote hili tume ya uchaguzi imtangaze mshindi je itakuwaje kwa kura yangu ambayo ndiyo Nuru kwake hili atangazwe mshindi si ntavuna sana mapesa hapa. Mungu nipe uzima,
Na nyie wa bushi uchaguzi huu mtavaa makofia mengi safari hii mtaletewa na kaptura sio matishirt pekee kama mlivyozoea
 
Maskini huwa na furaha sana wakiona aliyenacho anaharibikiwa.

Maskini hujawa na roho mbaya, chuki siku zote.

Maskini tabia ake kuu ni uzinzi, uvivu na ulozi.
 
Vile chadema inaondoka na vijiji huko + kadi za ccm zinavorudishwa kila mahali, mama ana hatihati ya moto mkali kumuwakia 2025, otherwise aanze kubuni cheo kipya cha naibu Rais au naibu makamu wa Rais.
otherwise aanze kubuni cheo kipya cha naibu Rais au naibu makamu wa Rais.[emoji23]
 
Back
Top Bottom