SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Ndiyo wamemwamini kuzipokea. Swali jengine tafadhalHuyu Mwenye rundo la Kadi za CCM mbona kavaa Gwanda za Chadema?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo wamemwamini kuzipokea. Swali jengine tafadhalHuyu Mwenye rundo la Kadi za CCM mbona kavaa Gwanda za Chadema?
Huyo mkuu wa wilaya ndiyo wale walionunuliwa na yule mwovu aliyeko kuzimu sasa.Uzuri wake ujumbe unawekwa wazi wananchi wana kero na wanamhitaji Mkuu wa wilaya hataki kwenda kuwasikiliza tatizo la nani ni lake yeye abebe lawama
Kanunue na wewe si ndiyo urithi mlioachiwa na yule dhalim wenuChadema wameanza kununua watu
Haya!Ndiyo wamemwamini kuzipokea. Swali jengine tafadhal
Kuna kiongozi alisema upinzani wa dhati utatoka ndani ya chama chetu nadhani aliona mbali na anastahili kuitwa nabiiTafsiri yake ninini hapa? Wananchi wamechoka na uoga hatimaye umewatoka! Hawaogopi tena! Ni ngumu kutabiri kituo kifuatacho kitakuwa wapi.. Kama kikiwa kanda ya ziwa hiyo ni habari ya kutisha sana...
Duuh Hatari kweli Wananchi wamesha choka na CCM imepitwa na wakati kweli.
Wewe ndiye kipofu wa kisiasa usiyeona chama mbadala, wenye mawazo huru tunakionaCCM imechokwa tatizo hakuna chama mbadala
Visiwani bila JWT, Polisi na TISS CCM haina nguvu. Vikosi vya SMZ lazima vilindwe na hawa. Ndio maana CCM Zanzibar vinapenda muundo huu wa muungano.Chama cha kimebaki pwani na visiwani.
Kupiga madili wamuachi nani?Viongozi wazidishe upendo kwa wananchi na wafanye mambo yenye tija kwa wananchi..pia wananchi hasa Tabaka la chini wasikilizwe kero zao. Kadi hazitarudi...
Thread 'Mungu anaratibu anguko la CCM. Hakutakuwa na ombwe la uongozi' Mungu anaratibu anguko la CCM. Hakutakuwa na ombwe la uongoziHayati mwendazake aliifahamu vema nguvu ya uma, kuchokwa kwa chama chake na kutopendwa kwa viongozi wa chama chake ndio maana aliamua kibabe sana kukataza mikutano ya kisiasa na mijadala huru ya wananchi...
NGUVU ya uma ni kitu chenye nguvu sana maana ni muunganiko wa roho nyingi zenye nishati inayowaza jambo moja kwa pamoja, tofauti kabisa na nguvu ya kiongozi anayewaza jambo moja kwa msaada wa vyombo vya ulinzi vinavyopokea ujira na kumtumikia mtawala!
Chama tawala kimechokwa na hata wanachama wake! Hili si jambo la kushangaza hasa kutokana na ukongwe wake.. Wananchi wa Mtwara wanaojulikana kwa misimamo na utata wiki iliyopita baada ya kuchoshwa na ujinga wa viongozi wao wakaamua kwenye mkutano wa hadhara kurudisha kadi za CCM kufikisha ujumbe kunakohusika.
Watawala ama kwa kukurupuka ama kwa kutafuta huruma ya jamii ama kwa kutowaza kwa weledi wakaamua kwa haraka kuwatumbua viongozi wa kisiasa waliosababisha tatizo! Haikuwa hatua mbaya walifanya vema kusimama na wananchi. Lakini kwakuwa mambo ni mengi na muda ni mchache wakadhani hilo limeisha.
Jana kwenye mkutano wa hadhara huko wilayani Lushoto moja ya ngome kongwe za CCM wananchi wa kijiji cha View Point kwenye mkutano wa hadhara nao wakarudisha kadi za ccm kuonesha kutoridhishwa kwao na viongozi wao wa kisiasa
Mbegu iliyopandwa Mtwara imechipukia Milimani lushoto mamia ya kilometa. Moto uliowashwa Mtwara umeruka hadi Lushoto mwendo wa masaa si chini ya 20 kwa mwendo wa gari.
Tafsiri yake ninini hapa? Wananchi wamechoka na uoga hatimaye umewatoka! Hawaogopi tena! Ni ngumu kutabiri kituo kifuatacho kitakuwa wapi.. Kama kikiwa kanda ya ziwa hiyo ni habari ya kutisha sana...
Swali la kujiuliza je na DC wa Lushoto naye atatumbuliwa kwa kuzembea mpaka wananchi wakarudisha kadi za chama?
Je, asipotumbuliwa itakuwaje kwa aliyetumbuliwa? Maana makosa yanafanana.
Na je hili vuguvugu la kurudisha kadi za ccm tena kwenye mikutano isiyokuwa ya wapinzani likishika kasi. Watatumbuliwa wangapi!? Au wangapi hawatatumbuliwa?
View attachment 2736303
Aahaaaa,kweli watu wamechokaHayati mwendazake aliifahamu vema nguvu ya uma, kuchokwa kwa chama chake na kutopendwa kwa viongozi wa chama chake ndio maana aliamua kibabe sana kukataza mikutano ya kisiasa na mijadala huru ya wananchi...
NGUVU ya uma ni kitu chenye nguvu sana maana ni muunganiko wa roho nyingi zenye nishati inayowaza jambo moja kwa pamoja, tofauti kabisa na nguvu ya kiongozi anayewaza jambo moja kwa msaada wa vyombo vya ulinzi vinavyopokea ujira na kumtumikia mtawala!
Chama tawala kimechokwa na hata wanachama wake! Hili si jambo la kushangaza hasa kutokana na ukongwe wake.. Wananchi wa Mtwara wanaojulikana kwa misimamo na utata wiki iliyopita baada ya kuchoshwa na ujinga wa viongozi wao wakaamua kwenye mkutano wa hadhara kurudisha kadi za CCM kufikisha ujumbe kunakohusika.
Watawala ama kwa kukurupuka ama kwa kutafuta huruma ya jamii ama kwa kutowaza kwa weledi wakaamua kwa haraka kuwatumbua viongozi wa kisiasa waliosababisha tatizo! Haikuwa hatua mbaya walifanya vema kusimama na wananchi. Lakini kwakuwa mambo ni mengi na muda ni mchache wakadhani hilo limeisha.
Jana kwenye mkutano wa hadhara huko wilayani Lushoto moja ya ngome kongwe za CCM wananchi wa kijiji cha View Point kwenye mkutano wa hadhara nao wakarudisha kadi za ccm kuonesha kutoridhishwa kwao na viongozi wao wa kisiasa
Mbegu iliyopandwa Mtwara imechipukia Milimani lushoto mamia ya kilometa. Moto uliowashwa Mtwara umeruka hadi Lushoto mwendo wa masaa si chini ya 20 kwa mwendo wa gari.
Tafsiri yake ninini hapa? Wananchi wamechoka na uoga hatimaye umewatoka! Hawaogopi tena! Ni ngumu kutabiri kituo kifuatacho kitakuwa wapi.. Kama kikiwa kanda ya ziwa hiyo ni habari ya kutisha sana...
Swali la kujiuliza je na DC wa Lushoto naye atatumbuliwa kwa kuzembea mpaka wananchi wakarudisha kadi za chama?
Je, asipotumbuliwa itakuwaje kwa aliyetumbuliwa? Maana makosa yanafanana.
Na je hili vuguvugu la kurudisha kadi za ccm tena kwenye mikutano isiyokuwa ya wapinzani likishika kasi. Watatumbuliwa wangapi!? Au wangapi hawatatumbuliwa?
View attachment 2736303
Hadi wewe unasema hivi!?Huu mchezo unachezwa ndani. Rais wetu Dkt Samia kama kawaida yake ni mkurupukaji kama alivyokurupuka suala la DP World na bendera ya Kenya kwenye jengo la Burj Khalifa. Sasa sijui nani atamg’onga sikio kuwa hekima yake na uongozi wenye uadilifu ni muhimu zaidi ya kadi za CCM, yaani ajulishwe mizizi ya kuwa kiongozi bora siyo kujitengenezea mfumo nje ya mfumo yaani kujiaminisha Gabon waliyoyafanya basi nikae karibu na wajeda eti watanilinda hahahahaha. Kwa ufupi Mama hata sisi chawa wake huwa hatumuelewi ila kwa sababh ya uchawa lazima tumuunge mkono tu maana katiba inampa mamlaka ya kuua bila kushitakiwa etc
Aahaaaaamekiri kuwa akiambiwa kuchagua CCM na andazi yeye atachagua Andazi [emoji1787][emoji1787] CCM tunaenda kubaya Sana..[emoji23]