MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Hao ni mamluki wa chama cha Mbowe wamenunuliwa ili kukipa CHADEMA uhai kwa kiki ya kijinga. CHADEMA mnatumia kauli ya Mama Samia vibaya kwa maslahi yenu. Lushoto itawashangaza kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwakani.