Vuguvugu la mapinduzi lanukia Urusi. Wagner group yafarakana na vikosi vya serikali. Askari watanda miji yote mikubwa. Putin kuongea muda mfupi

Vuguvugu la mapinduzi lanukia Urusi. Wagner group yafarakana na vikosi vya serikali. Askari watanda miji yote mikubwa. Putin kuongea muda mfupi

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Ndio habari zinazojiri huko Urusi. Kiongozi wa Wagner Group kikundi cha wapiganaji binafsi kilichokuwa kinaisaidia Urusi kwenye vita Ukraine amefarakana na waziri wa ulinzi wa Urusi.

Kumekuwa na hali ya hatari kote Urusi na watu kuamriwa kubaki majumbani.

Kiongozi wa Wagner Group anashutumiwa kwa uchochezi dhidi ya serikali na anatafutwa ili ajibu tuhuma dhidi ya kile kilichoitwa jaribio la mapinduzi. Yeye akanusha.

Putin kuongelea hilo muda mfupi ujao.

 
Ndio habari zinazojiri huko Urusi. Kiongozi wa Wagner Group kikundi cha wapiganaji binafsi kilichokuwa kinaisaidia Urusi kwenye vita Ukraine amefarakana na waziri wa ulinzi wa Urusi.

Kumekuwa na hali ya hatari kote Urusi na watu kuamriwa kubaki majumbani.

Kiongozi wa Wagner Group anashutumiwa kwa uchochezi dhidi ya serikali na anatafutwa ili ajibu tuhuma dhidi ya kile kilichoitwa jaribio la mapinduzi. Yeye akanusha.

Putin kuongelea hilo muda mfupi ujao.

Mmmh Pole Putin
 
Watu tulionya since day one , watu wakaendeleza ushabiki , Mzungu anapokutafta huwa ameshakujua nje ndani , uimara wako na udhaifu wako , kimsingi jamaa walimuotea tuu wampeleke mbio ndefu , walijua tuu non stop hustle lazima utepete
 
Watu tulionya since day one , watu wakaendeleza ushabiki , Mzungu anapokutafta huwa ameshakujua nje ndani , uimara wako na udhaifu wako , kimsingi jamaa walimuotea tuu wampeleke mbio ndefu , walijua tuu non stop hustle lazima utepete
Hachomoi imeingizwa akaikalia
 
Propaganda tu hizo .
Vick...propaganda gani watu wanazipiga?
Screenshot_20230624-100147_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom