IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,362
- 6,274
Game over. Putin kapoteza. Wazungu huwa wanasema The devil you know is better than an Angel you don't know.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Western propagandist televisionNdio habari zinazojiri huko Urusi. Kiongozi wa Wagner Group kikundi cha wapiganaji binafsi kilichokuwa kinaisaidia Urusi kwenye vita Ukraine amefarakana na waziri wa ulinzi wa Urusi.
Kumekuwa na hali ya hatari kote Urusi na watu kuamriwa kubaki majumbani.
Kiongozi wa Wagner Group anashutumiwa kwa uchochezi dhidi ya serikali na anatafutwa ili ajibu tuhuma dhidi ya kile kilichoitwa jaribio la mapinduzi. Yeye akanusha.
Putin kuongelea hilo muda mfupi ujao.
Wamepandiwa dau hapo , lengo lao ni fedha tu SI kutetea nchiHili ndilo tatizo la majeshi ya kukodiwa, hapo ndipo Putin atajua hajui.
Hata huku Africa kule Mali,Burkina na Centraafrica wanavuna pesa tu.Wagner jamani hawana cha msalia mtume.Wamepandiwa dau hapo , lengo lao ni fedha tu SI kutetea nchi
Ndio habari zinazojiri huko Urusi. Kiongozi wa Wagner Group kikundi cha wapiganaji binafsi kilichokuwa kinaisaidia Urusi kwenye vita Ukraine amefarakana na waziri wa ulinzi wa Urusi.
Kumekuwa na hali ya hatari kote Urusi na watu kuamriwa kubaki majumbani.
Kiongozi wa Wagner Group anashutumiwa kwa uchochezi dhidi ya serikali na anatafutwa ili ajibu tuhuma dhidi ya kile kilichoitwa jaribio la mapinduzi. Yeye akanusha.
Putin kuongelea hilo muda mfupi ujao.
Upo utabiri unaonesha kitu kikubwa kitampata July flani.Nilishasema Putin atauwawa au kupinduliwa na kunyongwa na watu wake never under estimate power of CIA and Europe intelligent
Tuliwaambia wakatuita mashoga Kiko wapi[emoji16]Watu tulionya since day one , watu wakaendeleza ushabiki , Mzungu anapokutafta huwa ameshakujua nje ndani , uimara wako na udhaifu wako , kimsingi jamaa walimuotea tuu wampeleke mbio ndefu , walijua tuu non stop hustle lazima utepete
kama ni hvyo bac kusingekuwa natalaka nyingi mahakamaniPropaganda hizo,Wagner na Putin ni pete na kidole.
Amka kutoka usingizini wewe.. Vita ishaanza huko propaganda ili iweje?Propaganda hizo,Wagner na Putin ni pete na kidole.
Kweli umeandika pwenti kabisa.kama ni hvyo bac kusingekuwa natalaka nyingi mahakamani
Ndoa huvunjika sembuse urafikiPropaganda hizo,Wagner na Putin ni pete na kidole.
Ila nayo huenda ikawa ni mbinu ya kivita ya PutinNi hiari yako kuamini au kutoamini. Lakini hali inaonekana ni tete. Wapiganaji wa Wagner wameamua kumlinda kiongozi wao. Bahati mbaya kundi la Wagner ni jeshi kamili na limekwishateka ghala la silaha lililopo kusini mashariki mwa Russia.
Hapa Putin ana wakati.mgumu sana. Apigane na Wagner, apigane na Ukraine. Na ikidhihirika kwa uhakika kuwa Wagner wamekuwa maadui wa Putin, bila shaka Ukraine itawapa msaada, japo walikuwa maadui.
Mbinu gani hii aruhusu kambi za jeshi kutekwa?Ila nayo huenda ikawa ni mbinu ya kivita ya Putin
Ikidhibitika!?, kumbe hata wewe huna uhakika?,Ni hiari yako kuamini au kutoamini. Lakini hali inaonekana ni tete. Wapiganaji wa Wagner wameamua kumlinda kiongozi wao. Bahati mbaya kundi la Wagner ni jeshi kamili na limekwishateka ghala la silaha lililopo kusini mashariki mwa Russia.
Hapa Putin ana wakati.mgumu sana. Apigane na Wagner, apigane na Ukraine. Na ikidhihirika kwa uhakika kuwa Wagner wamekuwa maadui wa Putin, bila shaka Ukraine itawapa msaada, japo walikuwa maadui.
Ila sijui huwa mnafikiria kwa kutumia Nini[emoji3], mbinu ndege za kivita zinadunguliwa kila muda?Ila nayo huenda ikawa ni mbinu ya kivita ya Putin
Huna akiliNilishasema Putin atauwawa au kupinduliwa na kunyongwa na watu wake never under estimate power of CIA and Europe intelligent
Propaganda hizo,Wagner na Putin ni pete na kidole.