Nimesikiliza kwa makini hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda. Hakika ana mabadiliko makubwa sana na amezungumza kwa weledi. Amejitahidi kuelezea na kuangazia maswala ya kiuchumi na miradi ya maendeleo inayoendelea Arusha kwa Sasa.
Ameongea kiume na kwa haiba ya uongozi na hakika ana mabadiliko makubwa sana katika maongezi yake.
Ameandaa sherehe na anachinja ng'ombe zaidi ya miambili kuandaa chakula choma na kuwakutanisha wakuu wa taasisi na wawekezaji wa Arusha.
SWALI langu Je wazee wastaafu ambao ni wenyeviti wa bodi wataweza kula nyama choma ngumu ama watavunja meno tu?? Nashauri pia awachemshie wazee supu wale nyama laini na michuzi.
Soma Pia: RC Makonda aandaa hafla ya Wakuu wa Taasisi za Umma na Wafanyabiashara Arusha
NB: Hapo mwisho pazingatiwe
Ameongea kiume na kwa haiba ya uongozi na hakika ana mabadiliko makubwa sana katika maongezi yake.
Ameandaa sherehe na anachinja ng'ombe zaidi ya miambili kuandaa chakula choma na kuwakutanisha wakuu wa taasisi na wawekezaji wa Arusha.
SWALI langu Je wazee wastaafu ambao ni wenyeviti wa bodi wataweza kula nyama choma ngumu ama watavunja meno tu?? Nashauri pia awachemshie wazee supu wale nyama laini na michuzi.
Soma Pia: RC Makonda aandaa hafla ya Wakuu wa Taasisi za Umma na Wafanyabiashara Arusha
NB: Hapo mwisho pazingatiwe