Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
CCM wameanza kuchafua amani ya nchiYa leo hii Mkuu?
Wamepigwa broKwa hiyo vitambulisho vyao elfu 20 vitakuwa vimeisha muda wake?
Tena ilioamka vizuriMbege ya mchana hii!
Rudisha avatar picha yako nusu mtu nusu mbwa.ya zama za mkoloni mweusi sio
Kwa hiyo vitambulisho vyao elfu 20 vitakuwa vimeisha muda wake?
Wawaondoe hao mbwa koko wasiharibu mandhari ya miji yetu
Walipelekwa Ilala machinga complex na wakaondoka licha ya serikali kununua bati na vyuma kwa kuezekea nje! Serikali ikapata hasara.SELIKALI IWAANDALIE MAENEO WAKAE NA ATAKAEKAIDI APIGWE TU
Sasa nani muhuni hapo kama sio hao machinga mbona mnapenda kutetea upumbavu?Miaka 5 iliyopita mapato yalishuka au yaliongezeka?
Si kuna supermarket sio lazima matajiri muende Kariakoo.
Tunisia mmachinga alijichoma moto kwa uhuni kama huu
View attachment 1930478
πππππAlienda navyo dhalimu mwendazake