Vurugu duka la Sandaland Kariakoo Kati ya Wamachinga na Mabaunsa. Mmachinga avua nguo

Vurugu duka la Sandaland Kariakoo Kati ya Wamachinga na Mabaunsa. Mmachinga avua nguo

Nilikuta juzi pia haya malumbano, Huyu Sandaland anatafuta kuchomewa duka lake Huyu. Ni vyema angetumia migambo kuliko hao mabaunsa, Pia wangeungana KWA pamoja wawatoe wamachinga kkoo kama hawawataki.

Ajabu maduka wenzao ndo wanatumia hao wamachinga kuuza bidhaa zao Bila kodi,ukienda wewe unapandishiwa mzigo gharama kubwa mpaka unaondoka tena haswa ukidai reset
Kashindwa kuwatumia machinga wamuuzie bidhaa zake
 
Duh uyo alovua nguo angejipaka mafutaa kabsaa awe ka yule jamaa wa Rchugga anayeitwa telezaaa
 
Serikaki ichague moja...unataka kura au unataka kodi
 
Hivi kwa nini kavua nguo? Maana hata zamani watu wakipigana walikuwa wanavua mashati. Sijawahi kupata logic
 
Japo siwapendi na usumbufu wao lakini si sahihi kuwaita mbwa koko. Wanatafuta rizki zao za halali pia, kuwamithilisha na wanyama ni kuwadhalilisha.
Huyu jamaa hapigi picha Kama yeye angekuwa chinga sijui angejisikiaje,Kisa amekaa kwa paso yako na MTT anamkula mbususu yake anadhani yeye pekee ndiye Ana haki ya kuishi.
Binafsi ni kweli wanAziba road Sana Tena mpaka zile trunk roads Ila jamaa wapo nyumbani kwao.
Inawezekana yeye yupo huko mikocheni anapita na benzi afu akiona waliopanda dala anawaona kama sio watu.ama ni ulimbukeni wa kupata Mali na huku ulikuwa masikini ama Mali za ukubwani.
Waliozaliwa kwenye Mali wako humble Sana na Watu poa Sana kwa binadamu wenzao Ila Sasa masikini akipata atajitangaza na baa nzima atafunga
 
Hii nchi ni ya ajabu sana. Haiwezekani wengine walipe kodi ya jengo, kodi ya TRA, walipe na umeme, walipe kodi ya manispaa, walipie usafi. halafu wengine hawalipi chochote lakini wanaruhusiwa kuuza bidhaa zilezile bila ya kulipia chochote kile na tena mbele ya maduka ya wanaolipa kila kitu.
Umezuiwa Nini kuwa machinga mkuu
 
Ila wamachinga wanaudhi japo na wao wanajitafutia ridhiki ila mwenye duka ndie analipa kodi kubwa
 
Aisee, huyu aliyevua nguo ana ujasiri wa kipekee...Muda mwingine mibangi nayo inawachizisha.
 
Nilikuta juzi pia haya malumbano, Huyu Sandaland anatafuta kuchomewa duka lake Huyu. Ni vyema angetumia migambo kuliko hao mabaunsa, Pia wangeungana KWA pamoja wawatoe wamachinga kkoo kama hawawataki.

Ajabu maduka wenzao ndo wanatumia hao wamachinga kuuza bidhaa zao Bila kodi,ukienda wewe unapandishiwa mzigo gharama kubwa mpaka unaondoka tena haswa ukidai reset
Machinga wahuni. Huwezi ziba access kuelekea biashara ya mtu akakuacha, utakuwa ulofa
 
Back
Top Bottom