Sababu ya ccmDuh!!
Ila Wamachinga wamekuwa wengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu ya ccmDuh!!
Ila Wamachinga wamekuwa wengi sana
Kashindwa kuwatumia machinga wamuuzie bidhaa zakeNilikuta juzi pia haya malumbano, Huyu Sandaland anatafuta kuchomewa duka lake Huyu. Ni vyema angetumia migambo kuliko hao mabaunsa, Pia wangeungana KWA pamoja wawatoe wamachinga kkoo kama hawawataki.
Ajabu maduka wenzao ndo wanatumia hao wamachinga kuuza bidhaa zao Bila kodi,ukienda wewe unapandishiwa mzigo gharama kubwa mpaka unaondoka tena haswa ukidai reset
Yangemchoma mavyuma angesikia utamu. Mtu wa kuvua nguo siyo wa kawaida.Mimi namshangaa uyu mwamba alievua nguo zote....Sasa Yale machuma yangemchoma kule nyuma na anavyoinamainama hovyooo....
Ni mtu wa namna gani mkuu..🤣Yangemchoma mavyuma angesikia utamu. Mtu wa kuvua nguo siyo wa kawaida.
Nchi imewashindeni.mnatapatapa tu hamjui ata mtatueje mambo ya msingi.hadi swala la machinga linawashinda.RC Makalla amehongwa na chadema ili aichongee serikali kwa wananchi wanyonge.
Jana MkuuHii ni ya lini?
Ni lango la biashara..si sehemu ya chingaz
Kila mtu afanye biashara..na si hii ya wamachinga kutawalaLango la biashara lunabagua watu?
Huyu jamaa hapigi picha Kama yeye angekuwa chinga sijui angejisikiaje,Kisa amekaa kwa paso yako na MTT anamkula mbususu yake anadhani yeye pekee ndiye Ana haki ya kuishi.Japo siwapendi na usumbufu wao lakini si sahihi kuwaita mbwa koko. Wanatafuta rizki zao za halali pia, kuwamithilisha na wanyama ni kuwadhalilisha.
Umezuiwa Nini kuwa machinga mkuuHii nchi ni ya ajabu sana. Haiwezekani wengine walipe kodi ya jengo, kodi ya TRA, walipe na umeme, walipe kodi ya manispaa, walipie usafi. halafu wengine hawalipi chochote lakini wanaruhusiwa kuuza bidhaa zilezile bila ya kulipia chochote kile na tena mbele ya maduka ya wanaolipa kila kitu.
SI ujibu hizo hojaUmezuiwa Nini kuwa machinga mkuu
Machinga wahuni. Huwezi ziba access kuelekea biashara ya mtu akakuacha, utakuwa ulofaNilikuta juzi pia haya malumbano, Huyu Sandaland anatafuta kuchomewa duka lake Huyu. Ni vyema angetumia migambo kuliko hao mabaunsa, Pia wangeungana KWA pamoja wawatoe wamachinga kkoo kama hawawataki.
Ajabu maduka wenzao ndo wanatumia hao wamachinga kuuza bidhaa zao Bila kodi,ukienda wewe unapandishiwa mzigo gharama kubwa mpaka unaondoka tena haswa ukidai reset
Kila mmoja anatafuta riziki siyo wao tuuJapo siwapendi na usumbufu wao lakini si sahihi kuwaita mbwa koko. Wanatafuta rizki zao za halali pia, kuwamithilisha na wanyama ni kuwadhalilisha.
kwahiyo kila mmoja ni mbwa koko au?Kila mmoja anatafuta riziki siyo wao tuu