Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bongo ukimanisha daslaam ya dude auBora Taliban waje Na bongo
Wanyonge lipeni TOZOYa leo hii Mkuu?
Kariakoo siyo kwaajili ya wamachinga au masikini..
Wanyonge lipeni TOZO
Kwa hiyo vitambulisho vyao elfu 20 vitakuwa vimeisha muda wake?
Na hapo mwezi huu wanamaliza la saba primary wanaongezeka againDuh!!
Ila Wamachinga wamekuwa wengi sana
Amuvua na boxerMimi namshangaa uyu mwamba alievua nguo zote....Sasa Yale machuma yangemchoma kule nyuma na anavyoinamainama hovyooo....
Yaah afu ana vuzi kipilipili... ahahaaAmuvua na boxer
Ni lango la biashara..si sehemu ya chingazNi kwa ajili ya nani
Siyo hawana cha kupoteza, ni kuwa wanaweza poteza kila kitu. Mtu wa hivyo muogope kuliko asiye na cha kupoteza.Ku deal na watu ambao hawana cha kupoteza siyo kazi ndogo.
Umeuzungusha mkono wa kulia kuingia kushoto kwenye mwili huo huo.Siyo hawana cha kupoteza, ni kuwa wanaweza poteza kila kitu. Mtu wa hivyo muogope kuliko asiye na cha kupoteza.
Nasema hivi serikali inawalea tu!!ikiwaamulia mbona watatii, kwenye hili inatakiwa mh, Rais atoe tamko kuwa jamani sasa imetosha nawapa wakuu wa mikoa mwezi mmoja miji nchi nzima iwe safi, tafuteni maeneo muwapeleke, tuone sasa atakayerudi barabarani!!hiyo kauli tu, ina maliza kila kitu!!tatizo utawasikia kuanzia sasa wataanza kupiga kelele kwa rais, kuwa wanyonge tunaonewa, sasa hata hawa watendaji wa chini wanakuwa njia panda.Walipelekwa Ilala machinga complex na wakaondoka licha ya serikali kununua bati na vyuma kwa kuezekea nje! Serikali ikapata hasara.
Nadhani vimeexpireKwa hiyo vitambulisho vyao elfu 20 vitakuwa vimeisha muda wake?
Tatizo wanasiasa ndio wameleta machinga baada ya kuuwa sekta binafsi ikiwemo kuwakimbiza Wawekezaji wakafunga biashara zao watu wakakosa ajira wakageukia umachinga.Hii nchi ni ya ajabu sana. Haiwezekani wengine walipe kodi ya jengo, kodi ya TRA, walipe na umeme, walipe kodi ya manispaa, walipie usafi. halafu wengine hawalipi chochote lakini wanaruhusiwa kuuza bidhaa zilezile bila ya kulipia chochote kile na tena mbele ya maduka ya wanaolipa kila kitu.